ZRA yatoa sababu kuvuka lengo makusanyo ya kodi Agosti

Unguja. Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA), imevuka lengo la makusanyo ya kodi kwa asilimia 102.34 kwa Agosti, 2024. Kaimu Kamishna Mkuu wa ZRA, Said Ali Mohammed amesema leo Jumanne, Septemba 3, 2024 kwamba mamlaka hiyo imefanikiwa kukusanya Sh71.11 bilioni kati ya malengo ya kukusanya Sh69.49 bilioni. Amesema makusanyo hayo yameongezeka jumla ya Sh13.87 bilioni sawa…

Read More

MRADI WA TAZA KUFUNGUA SOKO JIPYA LA BIASHARA YA UMEME AFRIKA.

………………………… 📌 Wafikia asilimia 83 📌Dkt. Mataragio akagua mradi na kutoa maelekezo TANESCO 📌 TAZA kuunganisha Mkoa wa Rukwa na gridi ya Taifa 📌 Kuimarisha upatikanaji umeme Mikoa ya Kusini mwa Tanzania Mbeya Imeelezwa kuwa mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme ya msongo wa kilovoti 400 kutoka Iringa hadi Zambia kupitia Tunduma (TAZA)…

Read More

Robo fainali daraja la kwanza, ukizubaa tu unaachwa

UKIZUBAA unaachwa. Ndiyo kinachoenda kutokea kwenye michezo ya robo fainali ya Ligi Daraja la Kwanza Dar es Salaam inayoanza kesho kwenye Uwanja wa Don Bosco, Oysterbay. Kisasi ni cha Chang’ombe Boys kwa Mlimani B.C baada ya kufungwa katika mchezo wa hatua ya makundi kwa pointi 68-57 na zinakutana tena robo fainali. Kocha wa Mlimani, Abbas…

Read More

WATUMISHI WA AFYA ZINGATIENI MAADILI YA KAZI KAZINI

Naibu Waiziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa anayeshughulikia Elimu Mhe. Dkt. Festo Dugange (Mb) amewataka Watumishi wa Sekta ya Afya kote Nchini kuhakikisha wanazingatia utoaji wa huduma kwa kuzingatia Maadili, Lugha nzuri na Uwajibikaji kutokana na viapo vyao vya ya kazi pindi wawapo kazini. Mhe. Dkt. Dugange ametoa maelekezo hayo…

Read More

Kutoka mipango, mauaji hadi askari kunyongwa-1

Dar es Salaam. “Kesi hii inaonesha hali ya kusikitisha na ya kushangaza, askari polisi ambao waliapa kulinda sheria na usalama wa maisha na mali za raia, sasa wameshtakiwa kwa kosa kubwa la kutisha la mauaji linaloweza kuharibu kabisa uaminifu wa kipekee uliowekwa kwao, badala ya kuwa kimbilio kwa watu wenye hofu, uwepo wao sasa unasababisha…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Minziro, Ahmad Ally wajihadhari

MSIMU huu umekuwa na upepo ambao sio mzuri kwa makocha na hadi hapa akili za kijiweni zinapochakata kuna makocha kama 14 hivi wameondoka kwenye timu zao kwa kufungishwa virago. Ni makocha wawili tu ambao wameondoka kwa uamuzi wao binafsi na sio kwa sababu ya matokeo yasiyoridhisha ambao ni Abdi Moalin na Sead Ramovic walioziacha timu…

Read More

Wanawake hawa hupata mimba wakati wa hedhi pekee

Dar es Salaam. Kama ulidhani siku za kubeba ujauzito kwa mwanamke ni kuanzia siku ya 12 hadi ya 15, huku ukiilenga siku ya 14 kwamba ni lazima atapata ujauzito, basi umekosea. Endapo unatafuta mimba kwa muda mrefu bila mafanikio au unataka kushika mimba haraka, ni muhimu kufuatilia kwa makini mzunguko wako wa hedhi kujua zipi…

Read More