Dripu inayopiga simu, kutuma ‘sms’ kuleta mapinduzi

Dar es Salaam. Maendeleo ya sayansi na teknolojia yamewezesha kuboresha huduma mbalimbali zikiwamo za hospitalini kwa wagonjwa na hasa waliolazwa. Kutokana na umakini unaohitajika wa kufuatilia mwenendo wa dripu za maji au damu wanazotundikiwa wagonjwa, Godwin Justine mwanafunzi wa Chuo cha Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta) amebuni dripu ya kielektroniki. Dripu hiyo imewekwa…

Read More

Madereva wamulikwa kuelekea mwishoni mwa mwaka

Arusha. Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka, madereva wakiwamo wa mabasi ya abiria, wametakiwa kuzingatia sheria za barabarani ili kuepuka ajali na kuokoa maisha. Mbali ya hayo, Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani, limeendelea kutoa elimu kwa madereva hao na kufanya ukaguzi, lengo likiwa kuhakikisha usalama barabarani unakuwepo wakati wote. Hayo yamesemwa usiku wa…

Read More

BENKI YA STANBIC TANZANIA YAZAWADIWA CHETI CHA ATE

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanawake kuvunja vikwazo ili kushiriki katika uchaguzi na kuthibitisha uwezo wao wa uongozi. Aliwahimiza wanawake kusaidiana na kuchukua majukumu ya dhati katika kufanya maamuzi.  Ujumbe wake ulikuwa wazi kwamba wanawake lazima wainuke, wachague dhana potofu, na kuunda mustakabali wa Tanzania kupitia uamuzi na vitendo. Aliyazungumza hayo kwenye mahafali ya kumi…

Read More

Gamondi ataka miezi sita tu Singida BS

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema ushindi dhidi ya KMC katika mechi ya Ligi Kuu Bara sio wa bahati mbaya, huku akiweka wazi ubora wa wachezaji alionao ndio siri ya mafanikio licha ya kukaa pamoja kwa muda mfupi, akisisitiza anataka apewe miezi sita tu. Gamondi amefunguka hayo baada ya Singida kuifunga KMC…

Read More

Beki Mghana aanza tambo Singida Black Stars

BAADA ya kujiunga na Singida Black Stars, beki Mghana Frank Assink amesema hajafanya kosa kujiunga na timu hiyo na anaiona nafasi yake kikosi cha kwanza. Assink amejiunga na Black Stars kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea Inter Allies kwenye nafasi anayocheza anaungana na Tra Bi, Edward Manyama, Keneddy Juma. Akizungumza na Mwanaspoti, alisema anaheshimu uwezo…

Read More

Meya Zanzibar awauma sikio madiwani

Unguja. Meya wa Jiji la Zanzibar, Kamal Abdulsatar Haji, amesema mafanikio ya Baraza la Jiji yanategemea zaidi ushirikiano na heshima katika kutekeleza majukumu yake. Amesema bila ya ushirikiano kati ya baraza, kamati na watendaji wake hakutakuwa na utoaji huduma nzuri kwa wananchi. Kamal ametoa kauli hiyo leo Jumanne Desemba 23, 2025 wakati akifungua mafunzo ya madiwani…

Read More

Siri mabadiliko majina ya maeneo  mitaa, Dar

Dar es Salaam ndio jiji kubwa nchini na mambo yake bila shaka ni  makubwa. Hivi unajua kama majina ya mitaa na barabara kadhaa yanayotumika sasa katika jiji hilo sio ya asili? Kazi hii inaangazia baadhi ya mitaa mitaa na barabara maarufu sambamba na majina yake ya kihistoria. Sio jambo kubaini kuwa aliyekuwa Rais wa Msumbiji,…

Read More