WAZIRI SIMBACHAWENE ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ametembelea na kukagua banda la tume ya taifa ya Mipango na Uwekezaji katika maonesho ya wiki ya utumishi wa umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangari Park Dodoma. Akitoa maelezo mbele ya Waziri huyo Mkuu wa Kitengo cha Habari…