Wanavyoizungumzia Siku ya Kimataifa ya Demokrasia

Dar es Salaam. Tanzania inaungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Demokrasia ambapo baadhi ya wanasiasa na wanaharakati wametoa jumbe zao kuhusiana na siku hii ikiwemo kuhimiza kuzingatiwa kwa demokrasia nchini. Siku ya Kimataifa ya Demokrasia huadhimishwa kila Septemba 15 ya kila mwaka ambapo ulimwengu hutafakari umuhimu wa demokrasia katika maisha ya…

Read More

Rais Samia ang’aka, azijibu balozi za Umoja wa Ulaya

Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amejibu matamko ya balozi zinazowakilisha mataifa mbalimbali nchini, yaliyotaka uchunguzi wa haraka wa matukio ya utekaji na mauaji ya watu, akisema Tanzania ni nchi huru haipaswi kuelekezwa cha kufanya kwenye mambo yake. Katika majibu yake hayo, amewashutumu mabalozi hao akisema walichokitamka haamini kama ni maelekezo ya…

Read More

Mechi nne za kimkakati Ligi Kuu Bara

MECHI nne za Ligi Kuu Bara zitapigwa Jumatano hii kwenye viwanja tofauti zikiwa na vita tatu, kisasi, ubingwa na kujiweka pazuri. Pamba na Namungo zitavaana jijini Mwanza, KMC wakikwaana na Prisons Dar es Salaam. Hizo mbili kitakwimu na jinsi msimamo wa Ligi ulivyo ni mechi za kujinusuru na upepo wa kwenda na maji. Kila moja…

Read More

Mke wa mpenzi wangu ananitishia maisha

Nipo kwenye uhusiano na mume wa mtu kwa miaka mitano sasa. Katika huo uhusiano nimemsaidia sana mpenzi wangu kiakili na hata mipango,hadi amejenga nyumba anayoishi na familia yake na kusomesha watoto katika shule nzuri. Nimemwingiza kwenye biashara na kumkutanisha na wafanyabiashara wakubwa kwa sababu mimi tangu kitambo ninafanya biashara ya mazao. Kwa kweli nimemsaidia sana…

Read More

Hebron aahidi makali Uturuki | Mwanaspoti

KIUNGO wa Sisli Yeditepe, Shedrack Hebron amesema Ligi Kuu ya Uturuki itarejea mwezi wa 10, lakini mashindano mbalimbali anayoshiriki yatazidi kumweka fiti kwa ajili ya msimu mpya. Hebron anacheza Ligi Kuu ya Uturuki pamoja na Watanzania wenzake, Ramadhan Chomelo wa Konya na Mudrick Mohamed anayekipiga Mersin. Akizungumza na Mwanaspoti, Hebron alisema kitendo cha kuibuka mfungaji…

Read More

Mpinzani wa Simba CAF kujulikana Qatar

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) limetangaza tarehe ya droo ya robo fainali ya mashindano ya  Klabu Bingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa timu zilizofuzu hatua hiyo msimu huu ambapo pia limepanga tukio hilo kufanyika Doha, Qatar. Baada ya kumaliza katika nafasi ya kwanza kwenye kundi A, la Kombe la Shirikisho Afrika, Simba inatarajia…

Read More

Watu 13 wazuiliwa baada ya kukamatwa na mbuzi wakidaiwa kutaka kutoa dhabihu huko Jerusalem

Watu 13 wamezuiliwa karibu na Mlima wa Hekalu la Jerusalem wakiwa na wana-kondoo na mbuzi ambao walikusudia kuwatoa dhabihu katika ibada ya Kibiblia ya Pasaka, polisi walisema katika taarifa. Katika tukio moja, mbuzi alipatikana akiwa amefichwa ndani ya gari la kubebea watoto, huku mshukiwa mwingine akijaribu kusafirisha mbuzi kwenye eneo la kumweka ndani ya begi…

Read More