PIRAMIDI YA AFYA: Mwaka mpya, mikakati mipya kudhibiti kisukari

Katika kuadhimisha mwaka mpya, tunapata nafasi ya kutafakari na kufanya mabadiliko chanya katika maisha yetu. Wengi hutumia kipindi hiki kupanga malengo na mikakati mipya na ni muhimu kukumbuka kuwa miongoni mwa mikakati hiyo ni kudhibiti viwango vya sukari. Ulaji wa sukari kupita kiasi ni moja ya changamoto kubwa za kiafya zinazoongezeka duniani na kuleta madhara…

Read More

Daladala zote Dar ruksa kupeleka abiria ‘Sabasaba’

Dar es Salaam. Daladala za ruti zote jijini hapa zimeruhusiwa kupeleka abiria katika Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya 48 maarufu Sabasaba yanayotarajiwa kuanza Juni 28 mwaka huu. Hayo yameelezwa kwenye taarifa ya Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Ardhini (Latra) iliyotolewa leo Juni 25, 2024 katika ukurasa wake wa Instagram. Akizungumza na Mwananchi kuhusu…

Read More

Rais TEC: Serikali irejee meza ya mazungumzo na wananchi Ngorongoro

Mbulu. Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Wolfgang Pisa ameiomba Serikali kurejea katika meza moja ya mazungumzo na wananchi wa Ngorongoro, akisema: “Iwasikilize, isiwalazimishe kuhama wala kuwakosesha huduma muhimu.” Askofu Pisa amesema uhalali wa uongozi uliopo madarakani katika utawala bora,  unatoka kwa wananchi na viongozi hao wanawajibika kwa wananchi. Ameyasema hayo leo Alhamisi…

Read More

CCM Yawakaribisha Wanachadema na G55

•kutangaza kuhama kwa waliokua viongozi waandamizi ni uthibitisho mgogoro ndani ya Chadema MVOMERO: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinawakaribisha kujiunga na chama hicho John Mrema na wenzake kutoka katika kundi la G55 waliojiondoa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla ameeleza hayo leo…

Read More

Urithi wa Martin Luther King Jrs juu ya Usawa wa Afya Kupitia Macho ya Daktari Mwafrika Mweusi – Masuala ya Ulimwenguni

Martin Luther King Jr. kwa kufaa alitambua ukosefu wa usawa wa kiafya kama aina mbaya zaidi ya ukosefu wa haki wa kijamii. Credit: bswise by Ifeanyi Nsofor (washington dc) Jumatatu, Januari 20, 2025 Inter Press Service WASHINGTON DC, Jan 20 (IPS) – Kila mwaka, Januari 20 inaadhimishwa kama Siku ya Martin Luther King Mdogo. Alikuwa…

Read More

Serikali, TLS yaivalia njuga vita ya ukatilii wa jinsia

  SERIKALI imesema ili kukomesha ukatili wa jinsia na kwa watoto, itaendelea kushirikiana na jamii ili kufichua matukio hayo. Anaripoti Faki Sosi, Dar es Salaam … (endelea). Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba, Dk. Franklin Rwezimula, ameyasema hayo leo jijini Dar es Salaam baada ya matembezi ya amani ya kupinga utekaji na mauaji dhidi ya…

Read More

TPA yaahidi kuongeza ufanisi katika bandari zake

  MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Plasduce Mbossa amesema kuwa mamlaka hiyo imejipanga kufanya upanuzi wa bandari zake, ili kuendelea kutoa huduma shindani katika soko la Afrika na kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Akizungumza wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Huduma kwa Wateja, ambayo imeanza jana…

Read More