WAFANYABIASHARA WA MTAA WA MAHIWA NA NZIGUA WAMLILIA MAMA SAMIA

UMOJA wa Wafanyabiashara wa Mahiwa na Nzigua wamemuomba Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuingilia kati operesheni ya kuondoa wafanyabiashara wa kanzu, Mitandio pamoja na vitu mbalimbali vya maharusi wa dini Kiislamu katika barabara ya Mahiwa na nzigua. Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Maadili Kasimu Kumbawene wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam…

Read More

Wanawake wa Gaza wanazungumza juu ya nyumba, hasara na watoto wenye njaa – maswala ya ulimwengu

Katika Jiji la Gaza, familia zinazoishi katika hema zinaonyesha ukweli wa pamoja. Wengi wamelazimishwa kukimbia mara kadhaa ya mapigano. Wengi hujikuta hawana makazi na njaa wakati wanakabiliwa na siku zijazo zisizo na shaka. Habari za UN Khadija Manoun na binti yake katika nafasi anayotumia kama jikoni ndani ya jengo lililoharibiwa. Khadija Manoun: Jiko la mabaki…

Read More

Mama mwenye kisukari fanya haya kabla na baada ya kujifungua

Dar es Salaam. Mara tu mwanamke mwenye kisukari anapopata ujauzito, ufuatiliaji wa sukari unapaswa kuimarishwa. Viwango vya sukari hubadilika haraka katika kipindi hiki kutokana na homoni za ujauzito, na hivyo kuna haja ya kurekebisha dozi za insulini au dawa zingine mara kwa mara. Uhudhuriaji wa  kliniki unapaswa kuwa wa mara kwa mara, ukihusisha mtaalamu wa…

Read More

Viungo vya mtoto aliyepotea vyadaiwa kuonekana Shinyanga

Shinyanga. Viungo vinavyodhaniwa kuwa vya mwanafunzi wa darasa la kwanza Shule ya Msingi Tinde B mkoani Shinyanga, Junior Maganga (7) vimeonekana wilayani humo, baada mtoto huyo kupotea tangu Agosti 22, 2024. Akithibitisha tukio hilo leo Alhamisi Agosti 29, 2024 Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga, Janeth Magomi amesema tukio hilo limetokea Agosti 27, mwaka huu katika…

Read More

Wataka maandamano ya Chadema vijijini

Sengerema. Wananchi wa Sengerema mkoani Mwanza wamewashauri viongozi wa Chadema kushusha maandamano ya amani hadi ngazi ya vijiji, ili kuwasaidia wananchi wa maeneo hayo kupata uelewa wa pamoja kuhusu malengo ya maandamano hayo. Wametoa ushauri huo leo Aprili 28, 2024 kufuatia maandamano ya Chadema yaliyofanyika jana Aprili 27, wilayani humo na  na kuongozwa na mwenyekiti…

Read More

Pina amaliza msimu kibabe, aziita timu mezani

MSHAMBULIAJI wa timu ya Mlandege, Abdallah Iddi ‘Pina’ amesema malengo aliyojiwekea msimu huu wa 2024-25 ikiwemo timu hiyo kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Zanzibar (ZPL) na kuwa mfungaji bora wa ligi hiyo, yametimia ambapo kwa sasa anataka kucheza soka nje ya Zanzibar. Katika ufungaji, Pina amefanikiwa kuvunja rekodi ya mchezaji wa zamani wa KVZ FC…

Read More