Mawakili walivyorushiana mpira, Dk Slaa kuendelea kusota mahabusu

Dar es Salaam. Wakati mwanasiasa maarufu nchini, Dk Wilbrod Slaa akiendelea kusota mahabusu kutokana na kukabiliwa na kesi ya jinai, mawakili wanaomtetea na mawakili wa Serikali wamerushiana mpira kila upande ukiutuhumu kuwa chanzo cha mwanasiasa huyo kupelekwa mahabusu na kuchelewesha kuamua hatima ya dhamana yake. Mawakili hao wamerushiana mpira huo, leo Alhamisi, Januari 23, 2025,…

Read More

Iran yaionya Marekani, Khamenei agoma kusalimu amri

Tehran, Iran. Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayattolah Ali Khamenei ameionya Marekani kutojihusisha na mzozo unaoendelea kati ya taifa lake na Israel, huku akidai kuwa ikifanya hilo kosa mzozo huo utageuka kuwa vita kamili.  Shirika la Habari la Serikali la Tasnim limeripoti kuwa, Khamenei ametoa kauli hiyo leo Jumatano Juni 18, 2025, wakati ambao Israel na…

Read More

Kiungo Simba Queens atambulishwa Burundi

BAADA ya kupewa mkono wa kwaheri na Fountain Gate Princess siku nne zilizopita hatimaye kiungo wa zamani wa Simba, Joelle Bukuru amejumuishwa kwenye kikosi cha PVP Buyenzi ya Burundi. Simba Queens ilimtoa kwa mkopo wa miezi sita kiungo huyo kwenda Fountain katika dirisha dogo la usajili msimu uliopita baada ya kocha kutokuwa na mpango na…

Read More

Changamoto ya matibabu ya Gaza, haki kwa Afrika, ghasia zinazoongezeka nchini Myanmar – Masuala ya Ulimwenguni

Hali ni mbaya haswa katika eneo la Gaza Kaskazini, ambalo limezingirwa kwa zaidi ya miezi miwili, Msemaji wa Umoja wa Mataifa Stéphane Dujarric. alisema wakati wa mkutano wake wa kila siku kutoka New York. Upatikanaji wa huduma za kimsingi pia umekuwa na vikwazo vikali, aliongeza, akibainisha kuwa shirika la Umoja wa Mataifa linalosaidia wakimbizi wa…

Read More

Madaraja mawili yakatika barabara inayoenda mikoa ya kusini

Kilwa. Mvua zinazoendelea kunyesha katika Mkoa wa Lindi hasa wilayani Kilwa, zimesababisha kukatika kwa baadhi ya madaraja likiwamo la Somanga – Mtama na la Mto Matandu ambalo awali liliharibiwa na mvua zilizoambatana na Kimbunga Hidaya, Mei 5, 2024. Mvua na Kimbunga Hidaya vilileta madhara katika barabara ya kusini na kufunga mawasiliano kwa siku tatu, hata…

Read More

TEKNOLOJIA YA KUDHIBITI WANYAMAPOLI WASITOKE HIFADHINI ITASAIDIA KUPUNGUZA CHANGAMOTO YA TEMBO KWA WANANCHI

  Shirika la Hifadhi ya Taifa TANAPA wameanza mpango wa kudhibiti wanyamapori, wakiwemo tembo wasivamie maeneo ambayo ni makazi ya watu kwa kwa kuwavalisha mikanda ya  kielektroniki yenye kutoa ishara ya utambuzi walipo hasa kama wameondoka katika hifadhi. Taarifa ya kutekelezwa kwa mpango huo imetolewa na Mkuu wa Uhifadhi kanda ya Mashariki Kamishna msaidizi mwandamizi…

Read More