Ado Shaibu aja na mambo manne kukamilisha Katiba mpya
Dodoma. Mbunge wa Tunduru Kaskazini (ACT-Wazalendo), Ado Shaibu ametilia shaka ukamilishaji wa Katiba mpya kutoka na mtindo wa kuja kwa alichoita vipande badala yake akapendekeza mambo manne ili kufikia hatua hiyo. Ado ametoa mapendekezo hayo leo Jumatano Januari 28, 2026 wakati akichangia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Novemba 14, 2025 wakati akizindua Bunge…