Ado Shaibu aja na mambo manne kukamilisha Katiba mpya

Dodoma. Mbunge wa Tunduru Kaskazini (ACT-Wazalendo), Ado Shaibu ametilia shaka ukamilishaji wa Katiba mpya kutoka na mtindo wa kuja kwa alichoita vipande badala yake akapendekeza mambo manne ili kufikia hatua hiyo. Ado ametoa mapendekezo hayo leo Jumatano Januari 28, 2026 wakati akichangia hotuba ya Rais Samia Suluhu Hassan aliyoitoa Novemba 14, 2025 wakati akizindua Bunge…

Read More

Wanawake Walioelimika wa Afghanistan Wanabadilika Chini ya Vizuizi vya Taliban – Masuala ya Ulimwenguni

Wanawake wa Afghanistan walioelimishwa katika uchumi usio rasmi wa Kabul, wanaofanya kazi katika rejareja kama sheria ya Taliban kuzuia fursa za kitaaluma. Credit: Learning Together. na Chanzo cha Nje (kabul) Jumatano, Januari 28, 2026 Inter Press Service KABUL, Januari 28 (IPS) – Wanawake vijana katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, wanajaribu mikono yao katika kazi…

Read More

Fedha za mchango wa Lissu zapigwa, mmoja adakwa

Dar es Salaam. Zaidi ya Sh19 milioni kati ya Sh41 milioni zilizochangwa na Watanzania kwa ajili ya kumsaidia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu zimepigwa na wajanja waliogawana. Kampeni ya kuratibu na kuhamasisha Watanzania kumchangia Lissu anayekabiliwa na kesi ya uhaini, iliendeshwa na baadhi ya makada wa Chadema waliopo ndani na…

Read More

Sh23.4 bilioni kuimarisha miradi ya umwagiliaji

Dodoma. Serikali imekabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya Sh23.4 bilioni kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya umwagiliaji nchini, huku Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) ikipongezwa kwa mchango wake katika kuhakikisha sekta hiyo inakuwa nguzo muhimu ya uchumi wa Taifa. Vitendea kazi hivyo ni pamoja na mitambo mikubwa 19 ya kuchimba visima vyenye uwezo…

Read More

MGAHAWA WA KUUZA UJI WA MAAJABU WAZINDULIWA GONGOLAMBOTO-DAR

Na Said Mwishehe,Michuzi Blog KAMPUNI ya Dorkin Organic Farming Co. Ltd ambayo imekuwa ikijihusika na tiba lishe kwa kutumia vyakula asili imezindua rasmi mgahawa wa chakula asili katika eneo la Gongolamboto wilayani Ilala Jijini Dar es Salaam. Katika mgawa huo kutakuwa kunauzwa juisi,supu, ugali unaotokana na mahindi ya asili ambayo mbegu zake zimekuwepo tangu mwaka…

Read More

Wanaodai, kudaiwa Pride waitwa kuwasilisha uthibitisho

Dar es Salaam. Kabidhi Wasii Mkuu wa Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), Frank Frank, kupitia taarifa kwa umma, ametoa wito kwa wadai na wadaiwa wa Kampuni ya Pride kuwasilisha uthibitisho wa madai yao, huku wote wanaoshikilia mali za kampuni hiyo walipe madeni yanayowahusu na kuzikabidhi mali hizo kwa mfilisi ndani ya siku 14…

Read More