MILION 524.1 KUTUMIKA KULIPA KIFUTA JASHO NA MACHOZI
Na Saidi Lufune, Dodoma NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb.), amesema kuwa Serikali inatarajia kulipa Shilingi Milioni 524.1 kwa wananchi 1,603 wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda Mkoani Mara kwa ajili ya malipo ya kifuta jasho na machozi kufuatia athari zinazotokana na wanyamapori wakali na waharibifu. Mhe. Chande amebainisha hayo…