Yametimia vivuko vya sekta binafsi Magogoni – Kivukoni

Dar es Salaam. Milango ya ushirikiano kati ya Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa) na sekta binafsi, imeanza kufungukia kwa huduma za vivuko katika eneo la Magogoni-Kivukoni. Hilo ni baada ya wakala huyo kushirikiana na Azam Marine Ltd katika utoaji huduma hiyo na tayari vivuko viwili vya kasi vimezinduliwa kuanza huduma katika eneo hilo. Milango…

Read More

Kabendera atangaza kukata rufaa dhidi ya Vodacom

Dar es Salaam. Mwanahabari, Erick Kabendera ametangaza uamuzi wa kukata rufaa dhidi ya pingamizi lililozuia kuendelea kwa kesi yake anayokabiliana na Kampuni ya mtandao wa simu ya Vodacom Tanzania Ltd. Kabendera aliifungua kesi hiyo, Julai 2024, akiituhumu kampuni hiyo kuhusika na utoaji wa taarifa za mahali alipo hadi kukamatwa kwake Julai, 2019 nyumbani kwake Mbweni…

Read More

MHE. NYONGO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA NCHINI UBELIGIJI

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Mhe. Stanslaus Nyongo amewasili nchini Ubeligiji kuongoza ujumbe wa Tanzania katika Kongamano la Bajeti la Umoja wa Ulaya linalofanyika mjini Brussels nchini Ubeligiji kuanzia tarehe 20 hadi 21 Mei, 2025. Tanzania imealikwa katika kongamano hili kama nchi pekee kutoka Afrika kushiriki katika kongamano hili kutokana…

Read More

Mikopo ya asilimia 10 yaibua mjadala, mawaziri watofautiana

Unguja. Mawaziri wawili wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) wametofautiana ndani ya Baraza la Wawakilishi kuhusu utekelezaji wa utoaji wa asilimia 10 ya mapato ya halmashauri kwa ajili ya mikopo kwa makundi maalumu. Mawaziri waliotofautiana ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Kazi, Uchumi na Uwekezaji, Shariff Ali Shariff, aliyeeleza kuwa baadhi ya halmashauri…

Read More

Kwa nini umfiche mwenza wako kipato?

Canada. Hakuna kitu kizuri na chenye faida na furaha kwa wanandoa kama kutofichana mambo au siri.  Hapa tutaongelea athari na madhara ya kufichana kipato au kila mwanandoa kuwa na chake badala ya chetu. Wanandoa wanapokuwa wawazi, licha ya kuwapa kuaminika na kujiamini, huwasaidia pale wanapokumbwa na misukosuko ya kifedha au kiuchumi kama vile kufilisika, kuachishwa…

Read More