Dk. Biteko aliomba kanisa ulinzi wa amani

  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amelitaka kanisa kulinda amani nchini, huku akiwahimiza viongozi wa dini kusimamia misingi ya malezi na makuzi ya kwa watoto, ili kudumisha tunu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Dk. Biteko amesema hayo leo tarehe 26 Septemba 2024, jijini Dodoma, wakati wa ufunguzi wa…

Read More

Samia agawa matrekta ya milioni 246 Namtumbo

Rais Samia Suluhu Hassan ametoa matrekta matatu yenye thamani ya Sh 246 milioni ambayo yana jembe la kulimia, jembe la haro pamoja na tela katika Wilaya ya Namtumbo ili kukuza kilimo katika wilaya hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Rais Samia ametoa matrekta hayo kupitia Wizara ya Kilimo ambapo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Kanali…

Read More

ZAIDI YA WAGENI 2000 KUSHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA WAHASIBU WAKUU WA SERIKALI BARANI AFRIKA

Na.Vero Ignatus,Arusha Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano mkuu wa kimataifa wa wahasibu,wakaguzi wa hesabu,wataalam wa masuala ya fedha,Tehama,vihatarishi na kada nyingine wakiwemo walioajiriwa serikalini,kampuni binafsi pamoja na waliopo katika ajira binafsi. Akizungumza na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa Aicc Jijini Arusha Mhasibu Mkuu wa serikali CPA Leonard Mkude amesema kuwa mkutano huo…

Read More

Afariki dunia akijaribu kuuzima moto shambani

Morogoro. Mratibu wa Elimu, Kata ya Tomondo aliyetambuliwa kwa jina la Mwenge Mnune, amefariki dunia baada ya kuungua kwa moto shambani kwake , wakati akijaribu kuuzima moto huo alioukuta ukiteketeza mazao kwenye shamba hilo. Tukio hilo linadaiwa kutokea Agosti 21, 2024 katika kitongoji cha Banzayage kilichopo katika kata ya Kiroka, mkoani Morogoro ambapo Mnuna na…

Read More