Ofisi ya Haki za UN ina wasiwasi juu ya kuongezeka katika Jiji la Gaza, Mipango ya Annexation kwa Benki ya Magharibi – Maswala ya Ulimwenguni

Ajith Sunghay, kichwa cha OhchrOfisi katika eneo lililochukuliwa la Palestina (OPT), aliambiwa Habari za UN Kwamba kuongezeka kumesababisha uharibifu mkubwa kwa majengo ya makazi katika sehemu za kusini mwa Gaza Kaskazini na katika maeneo ya kaskazini mashariki mwa Jiji la Gaza. Hii imesababisha majeruhi zaidi wa raia na kuhamishwa. Mamlaka ya afya ya eneo hilo…

Read More

Oryx Gas na TCRF waunga mkono jitihada za Rais Samia kwa kufunga jiko la nishati mashuleni

KATIKA kuunga juhudi za Serikali kupitia kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kampuni ya Oryx Gas Tanzania imeshirikiana na Taasisi ya Tanzania Communities Rise Foundation(TCRF) kuhakikisha shule ambazo zinawanafunzi zaidi 100 kuunganisha jiko linalotumia mfumo wa nishati safi ili kuondokana na matumizi ya mkaa na kuni. Akizungumza leo Septemba 19,2025 katika hafla ya uzinduzi wa…

Read More

Nauli ya mwendokasi Mbagala, Kariakoo hii hapa

Dar es Salaam. Zikiwa zimebaki siku sita kuanza kwa huduma ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka ‘mwendokasi’ barabara ya Mbagala, huenda nauli ya safari moja ikawa Sh1,000. Taarifa ya kuanza kwa huduma ya usafiri huo Mbagala ilitolewa wiki iliyopita na Mkurugenzi wa Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (Dart), Dk Athuman Kihamia alipozungumza na The Citizen….

Read More