Habari njema kuhusu afya ya Papa Francis
Rome. Vatican imesema kuwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis hayuko tena kwenye hatari ya kifo kutokana na maradhi yanayomsumbua, huku ikieleza kuwa dawa anazotumia zimeanza kuonyesha matokeo chanya kwenye mwili wake. Taarifa ya Vatican leo Jumanne Machi 11, 2025, imesema kuwa ishara ya maendeleo na kuimarika kwa afya ya kiongozi huyo imeonekana jana…