
Dk. Biteko aliomba kanisa ulinzi wa amani
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, amelitaka kanisa kulinda amani nchini, huku akiwahimiza viongozi wa dini kusimamia misingi ya malezi na makuzi ya kwa watoto, ili kudumisha tunu hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Dk. Biteko amesema hayo leo tarehe 26 Septemba 2024, jijini Dodoma, wakati wa ufunguzi wa…