Ubora wa Dar City, Fox Divas uko hapa

DAR City (DSM) na Fox Divas (Mara), zimeonyesha ubabe katika Ligi ya Kikaku ya Taifa (NBL), inayofanyika kwenye Uwanja wa Chinangali, Dodoma na kudhihirisha uwekezaji unalipa. Timu hizo ambazo zinatajwa kuwekeza katika kusajili wachezaji bora, Dar City iliyoanza uwekezaji huo mwaka 2022,   ikishiriki ligi ya kikapu ya daraja la kwanza mkoa wa Dar es Salaam,…

Read More

UBALOZI WA CHINA WAUNGANA NA ORYX KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA, WAKABIDHI MITUNGI 800 JIJINI ARUSHA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Na Mwandishi Wetu Arusha   UBALOZI WA China kwa kushirikiana na Kampuni ya Oryx Gas Tanzania wametoa mitungi 800 ya gesi yakiwa na majiko yake kwa walimu, madereva na wahudumu wa Serikali pamoja na Waandishi wa habari wa Mkoa wa Arusha lengo ni kutekeleza sera ya Serikali ya Tanzania pamoja na China katika kutunza mazingira….

Read More

Rais Samia: Kila anayestahili fidia atalipwa

Madaba. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hakuna mwananchi atakayeguswa na mradi unaotekelezwa na Serikali asilipwe fidia. Ingawa inaweza kuchelewa, amesema Serikali itahakikisha inampa kila mwananchi haki yake anayostahili. Rais Samia ametoa hakikisho hilo la fidia kwa wananchi wakati akijibu ombi la Mbunge wa Madaba (CCM), Dk Joseph Mhagama aliyeomba wananchi watakaopitiwa na ujenzi…

Read More

Hukumu kesi ya Ditto dhidi ya DSTV yaahirishwa

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeahirisha hukumu ya kesi ya madai ya mwanamuziki Lameck Ditto dhidi ya Kampuni ya Multchoice Tanzania Limited, maarufu DSTV iliyokuwa itolewe leo Jumanne Julai 16. Hukumu hiyo sasa itatolewa Julai 22, 2024 mahakamani hapo mbele ya jaji mfawidhi, Salma Maghimbi. Wakili wa Ditto, Elizabeth Mlemeta…

Read More

Uzembe wa dereva chanzo ajali iliyoua 12 Mbeya

Mbeya. Kaimu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,  Wilbert Siwa ametaja chanzo cha ajali iliyoua watu 12 na kujeruhi 23, akisema ni dereva kushindwa kuchukua tahadhari kwenye mteremko na kusababisha gari kuacha njia na kupinduka. Ajali hiyo ilitokea jana Septemba 27, 202 baada ya gari aina ya Mitsubishi Fuso lililokuwa likitokea Mbalizi kuelekea kwenye mnada…

Read More

Azizi KI agonganisha Waarabu wa Morocco

YANGA imekaa mkao wa kuvuna mamilioni ya kufuru kupitia kiungo mshambuliaji, Stephanie Aziz KI lakini huko Uarabuni kuna vita kubwa inapigwa kati ya klabu mbili. Yanga inapiga hesabu za kumuuza Aziz KI mwisho wa msimu huu, baada ya ofa kubwa tatu lakini mbili kati ya hizo ndio zinaonyesha mwanga mkubwa. Klabu tatu zinazomtaka Aziz KI…

Read More