Waombaji 14,433 wachaguliwa Veta 2026

Dodoma. Waombaji 14,433, miongoni mwao 134 wa elimu ya juu, wamechaguliwa kujiunga na mafunzo katika vyuo vya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (Veta). Waliochaguliwa ni kati ya waombaji 18,875 waliowasilisha maombi wakitaka kujiunga na mafunzo hayo kwa mwaka 2026. Mkurugenzi Mkuu wa Veta, Anthony Kasore, ametoa kauli hiyo leo Jumanne, Desemba 23, 2025, alipozungumza…

Read More

Kampuni ya Vodcell yatakiwa kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu shilingi milioni 362 ndani ya siku saba

KAMPUNI ya Vodcell yaelekezwa kuilipa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu shilingi milioni 362 ndani ya siku saba ikiwa ni fedha za ushuru wa zao kwa Halmashauri hiyo. Maelekezo hayo yametolewa na Mhe. Hussein Bashe, Waziri wa Kilimo akiwa kwenye ziara yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, Mkoani Shinyanga tarehe 15 Septemba 2024. Aidha, Waziri…

Read More

RAIS DKT. MWINYI ATEMBELEA BANDA LA LATRA SABASABA

Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, ametembelea Jengo la LATRA lililopo kwenye Maonesho ya 48 ya Kimataifa ya Biashara Saba Saba na kushuhudia shughuli za Udhibiti Usafiri Ardhini zinavyofanywa na LATRA. Akitoa maelezo katika jengo la LATRA, Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano LATRA, Bw. Salum…

Read More

Mjadala wa bajeti 2024/2025: Sindano za moto zinazosubiri majibu

Dodoma. Wakati mjadala wa mapendekezo ya Bajeti Kuu ya Sh49.35 trilioni kwa mwaka wa fedha 2024/2025 ukielekea mwishoni, hoja kadhaa ndio zimeongeza joto la kuilazimu Serikali kujipanga kikamilifu kuzijibu. Hoja hizo zinaiweka Serikali kwenye kitanzi mbele ya watanzania kuona kama itasikiliza ushauri wa wabunge na kuziondoa kwa kuwa, zimelalamikiwa kuwa zinakwenda kuongeza makali ya maisha….

Read More

Charles Hilary azikwa kwao Zanzibar, wadau wamlilia

Unguja. Wakati safari ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu Zanzibar na Msemaji Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), Charles Hillary ikitamatika rasmi kwa kupumzishwa katika makaburi ya Mwanakwerekwe Mjini Unguja, baadhi ya waandishi na watangazaji wakongwe wamemzungumzia kama mtu aliyekuwa chachu ya mabadiliko katika sekta ya habari. Charles alizaliwa October 22,1959…

Read More

Wazir JR mambo magumu Iraq

MSHAMBULIAJI wa Al Mina’a inayoshiriki Ligi Kuu nchini Iraq, Wazir Jr Shentembo ugumu wa ligi hiyo unampa changamoto ya kuipambania timu hiyo. Mina’a iko nafasi ya 16 kwenye msimamo wa ligi hiyo maarufu ‘Iraq Stars League’ ikiwa na pointi 25 kwenye mechi 24 ilizocheza, ushindi mechi sita, sare saba na kupoteza 11. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

Songea United ni Josiah au Mwalwisi!

MAKOCHA Maka Mwalwisi na Aman Josia ni majina pendekezwa katika kikosi cha Songea United (zamani FGA Talents) kwa ajili ya kuiongoza timu hiyo ya Championship msimu ujao. Hii ni baada ya dili la Mbwana Makata kuingiwa ‘mchanga’ kufuatia kusaini Tanzania Prisons na sasa mabosi wa timu hiyo yenye makazi yake mjini Songea kuumiza kichwa kumpata…

Read More