WANAOPITA KUWASUMBUA WAJUMBE KUOMBA KURA, WAONYWA.

Na John Walter -Babati Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Babati, Filbert Mdaki, ametoa onyo kali kwa wale wanaotembea kuwashawishi wajumbe ili wawapigie kura kwenye nafasi za Ubunge na Udiwani kabla ya muda rasmi wa mchakato wa uchaguzi kufika. Mdaki ametoa kauli hiyo wakati wa sherehe za miaka 48 ya CCM katika Kata…

Read More

Tabora, JKT zatakata, Yacouba wamotoo

Tabora United ikiwa kwenye Uwanja wa KMC Complex imeendeleza moto wake wa ushindi baada ya kuichapa KMC mabao 2-0. Mbali na ushindi wa KMC, JKT Tanzania imefanikiwa kujiweka kwenye nafasi nzuri baada ya kuichapa Fountain Gate bao 1-0 kwenye Uwanja wa Kwaraa Mkoani Manyara. Katika mchezo wa Tabora ambayo imeendelea kubaki nafasi ya tano na…

Read More

MVUA KUBWA ZAHARIBU MIUNDOMBINU, USAFIRI WA SGR NA BARABARA WAATHIRIKA

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya mwenendo wa Mvua Kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali hapa nchini. Imeeleza kuwa mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali nchini zimesababisha uharibifu wa miundombinu muhimu, ikiwemo reli, barabara na mifumo ya umeme, hali iliyoathiri shughuli za usafiri wa abiria na shehena katika baadhi ya…

Read More

Kwa nini muhimu shule kuwa na wanasaikolojia?

Lengo la adhabu huwa ni kutokomeza au kuondoa tabia isiyofaa kwa mwanafunzi au mtoto. Fimbo inapotumika mara nyingi huambatana na karipio, ambalo huondoa hali ya kujiamini kwa mwanafunzi au mtoto. Utafiti mwingi unaonesha mtoto anayekaripiwa mara nyingi huwa katika hatari ya kupoteza uwezo wa kujiamini na kujifunza kwa uhuru, kwa sababu anakuwa kwa sehemu kubwa…

Read More

Profesa Shemdoe aitwisha zigo Tahosa udhibiti matukio shuleni

Arusha. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Profesa Riziki Shemdoe amewaagiza wakuu wa shule za sekondari nchini kuendelea kusimamia nidhamu na kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu shuleni, hatua inayolenga kuinua ubora wa ufundishaji na ujifunzaji. Ametoa maagizo hayo leo Jumatano, Desemba 17, 2025, wakati akifungua Mkutano wa 20 wa Umoja…

Read More

Wajumbe wa Baraza Kuu la NSSF Wapatiwa mafunzo

 Na MWANDISHI WETU,Tanga. Wajumbe wa Baraza Kuu la 54 la Wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF), wakiongozwa na Mkurugenzi Mkuu, Bw. Masha Mshomba wamepatiwa mafunzo mbalimbali yaliyolenga kuongeza uelewa wa huduma wanazozipata kutoka NHIF, PSSSF, RITA, Kampuni Tanzu ya NSSF, Sisalana pamoja na elimu kuhusu afya ya akili. Mafunzo hayo yamefanyika…

Read More