Salumu Mwalimu aahidi neema ya viwanda Morogoro

Morogoro .Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimewataka wananchi wa  Morogoro kujiandaa kunufaika na neema ya sera ya viwanda, kikiahidi kurejesha hadhi ya mkoa huo kuwa kitovu cha viwanda kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu Julius Nyerere. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mlimba, Leo Jumanne Septemba 30, 2025, Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chaumma, Salum…

Read More

Fanya mambo haya baada ya kufungua funga ya Ramadhani

Wiki iliyopita tuliona matatizo ya kiafya yanayoweza kujitokeza wakati wa kufunga, yaani kujinyima kula kwa zaidi ya saa 16. Leo tutaona vitu vya kufanya kujikinga matatizo ya kiafya kutokana na kufunga. Kunywa maji: Kunywa maji mara kadhaa usiku kucha angalau glasi 10 baada ya kufungua mpaka kulala. Kunywa hata kama hujisikii kiu, hali ya kiu…

Read More

Liverpool, West Ham zafuata njia ya Arsenal, Man City

LONDON, ENGLAND. LIVERPOOL na West Ham United zimetolewa katika michuano ya Europa League, baada ya kushindwa kupindua meza katika michezo ya mkondo wa pili. West Ham United vs Bayer Leverkusen Liverpool ambayo ilichapwa bao 3-0 na Atalanta, Alhamisi  wiki iliyopita uwanjani Anfield imeibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa marudiano, lakini haujaisaidia. Bao…

Read More