Simba, Yanga zarudi mzigoni kukipiga leo

LIGI Kuu Bara inaendelea leo Alhamisi kwa mechi mbili vinazohusisha vigogo Simba na Yanga zinazokabiliana na Fountain Gate na Mbeya City zikitoka katika majukumu ya mechi za kimataifa za Ligi ya Mabingwa Afrika ugenini. Yanga yenyewe itaanza kazi saa 10 jioni kuikaribisha Fountain Gate kwenye Uwanja wa KMC Complex, Mwenge jijini Dar es Salaam kabla…

Read More

BONANZA LA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA WILAYANI MKALAMA LAFANA

Mkuu wa Wilaya ya Mkalama Mhe. Moses Machali amewataka wananachi wilayani Mkalama kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Mpiga Kura ili wawe na sifa za kuchagua viongozi katika Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa utakaofanyika tarehe 27/11/2024. Wito huo ameutoa tarehe 06/10/2024 wakati wa Bonanza la Hamasa ya Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa lililofanyika katika…

Read More

Zahera: Bado nipo nipo sana Namungo

BAADA ya tetesi nyingi kuhusiana na kocha Mwinyi Zahera kufanya makubaliano na uongozi kabla ya kupigtwa chini, mwenyewe ameibuka na kuweka wazi kuwa bado yupo sana Namungo. Zahera ameiongoza timu hiyo katika mechi mbili za kwanza za Ligi Kuu Bara na kupoteza zote mbele ya Tabora United ilikalala 2-1 na Fountain Gate iliyowachapa 2-0 na…

Read More

Hoza apewa miwili Dodoma Jiji

KIUNGO mkabaji wa Dodoma Jiji, Salmin Hoza ataendelea kusalia kwenye klabu hiyo hadi 2027 baada ya kuongeza mkataba miaka miwili. Kiungo huyo alijiunga na Dodoma Jiji 2020 kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Azam FC hadi sasa ameendelea kuitumikia timu hiyo akiwa mchezaji halali wa klabu hiyo baada ya kumaliza mkataba na waajiri wake wa…

Read More

Metacha atua rasmi  Singida Black Stars

DILI limetiki. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mabosi wa Singida Black Stars (zamani Ihefu) Uongozi wa Ihefu, umemalizana na kipa Metacha Mnata aliyekuwa Yanga na muda wowote kuanzia sasa inatarajia kumtambulisha rasmi. Kipa huyo wa zamani wa  Azam, Mbao na Singida Big Stars, alikuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kilichotetea ubingwa wa Ligi Kuu Bara…

Read More

KAKOLA FC BINGWA MAHUSIANO SPORTS BONANZA YA BARRICK BULYANHULU

  Mkuu wa wilaya ya Kahama,Frank Nkinda akiongea kabla ya kukabidhiwa kombe kwa mshindi na zawadi kwa timu zilizoshiriki Mkuu wa wilaya ya Kahama,Frank Nkinda (katikati) akikabidhi zawadi kwa washindi Kakola FC Mwakilishi wa Meneja Mkuu wa Barrick Bulyanhulu Chrispin Ngwaji akiongea kabla ya kukabidhiwa zawadi Kakola FC *** TIMU ya Kakola FC, imetwaa ubingwa wa Mashindano…

Read More

Ofisi ya Msaada wa UN inakemea mashambulio katika Hospitali ya Gaza – Maswala ya Ulimwenguni

Ochailiripotiwa Uadui huo ulizidi kuongezeka mara moja, na shambulio la vikosi vya Israeli katika Hospitali ya Gaza ya Ulaya huko Khan Younis ambayo iliwauwa na kujeruhi watu kadhaa. Timu kutoka Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) pia alikuwa ndani ya hospitali wakati huo. Jengo la hospitali lilipigwa tena Jumatano asubuhi, iliripotiwa kusababisha majeruhi zaidi. Mfumo wa…

Read More