RPC Tabora athibitisha Kamwe kushikiliwa

Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kumshikilia Afisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe kwa tuhuma za kuwachafua viongozi wa serikali. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Richard Abwao amethibitisha Kamwe anashikiliwa kuanzia jana usiku, kwa tuhuma hizo. Abwao amesema bado Kamwe yuko kizuizini akiendelea na mahojiano juu ya tuhuma hizo na taarifa zaidi zitatolewa baadaye. “Kweli…

Read More

Jaji mfawidhi Mhe.Latifa Mansoor awataka MPLC kupongeza Nguvu Elimu msaada wa kisheria

Jaji Mfawidhi wa Mhakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro,Mh.Latifa Mansoor ameushauri Uongozi wa Shrika la Wasaidizi wa Kisheria Morogoro (MPLC) kuongeza nguvu katika kutoa elimu na msaada wa Kisheria ndani ya jamii kwa lengo la kupanua wigo wa upatikanaji wa haki ili kupunguza matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo ukatili wa kijinsia,ubakaji,ulawiti na maadili. Aidha…

Read More

Sh bilioni 7 zaing’arisha Kata ya Kivule

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya Sh bilioni 7 zimetumika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo katika Kata ya Kivule iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kwa kipindi cha mwaka 2020 hadi Juni 2024. Fedha hizo zimetolewa na Serikali Kuu na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam kupitia mapato yake ya ndani….

Read More

Salumu Mwalimu aahidi neema ya viwanda Morogoro

Morogoro .Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), kimewataka wananchi wa  Morogoro kujiandaa kunufaika na neema ya sera ya viwanda, kikiahidi kurejesha hadhi ya mkoa huo kuwa kitovu cha viwanda kama ilivyokuwa enzi za Mwalimu Julius Nyerere. Akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mlimba, Leo Jumanne Septemba 30, 2025, Mgombea urais wa Tanzania kupitia Chaumma, Salum…

Read More

Serikali yatangaza neema kwa wakulima

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ametangaza neema kwa wakulima, akiielekeza Wizara ya Kilimo, kuanzia msimu ujao wa mavuno, kuwalipa wakulima moja kwa moja na vyama vikuu vya ushirika badala ya utaratibu wa sasa wa kupitishia malipo hayo kwenye Vyama vya Msingi (AMCOS). Amesema utaratibu wa kupitisha malipo AMCOS, unawacheleweshea wakulima malipo yao na kuongeza makato….

Read More

Bei ya petroli yashuka, dizeli ikiongezeka

Dar es Salaam. Bei ya petroli imeshuka mwezi huu Julai katika mikoa inayochukua mafuta hayo Bandari za Dar es Salaam, Tanga na Mtwara ikilinganishwa na Juni, huku dizeli ikiongezeka kidogo. Taarifa iliyotolewa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) inaonyesha kuwa bei za mafuta kuanzia leo Jumatano Julai 3, 2024 yale…

Read More