Tano zaombeana mabaya BDL | Mwanaspoti

WAKATI timu zikiwa zimebakiza michezo miwili zikamilishe michezo 30  ya mzunguko wa pili wa Ligi ya Mpira wa kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), imeonekana ushindani utakuwa   kwa timu tano zinazopambana kujinasua zisishuke daraja. Timu hizo ni KIUT yenye pointi 34, Mgulani JKT (33), Jogoo (33), Crows (32), Chui (29). Kati ya timu hizo,…

Read More

MADAKTARI BINGWA KUTOKA MIKOA YA MBEYA,SONGWE NA RUVUMA WAPIGA KAMBI KUTOA HUDUMA ZA KIBINGWA KWA WANANCHI RUVUMA

TIMU ya madaktari Bingwa kutoka mikoa ya Ruvuma,Songwe na Mbeya wameanza kutoa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa mkoa wa Ruvuma. Mganga mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa Songea(Homso)Dkt Majura Magafu amesema,uchunguzi na matibabu hayo yatahusisha magonjwa ya akina Mama,magonjwa ya ndani kama vile shinikizo la damu,kisukari na figo….

Read More

Uhamiaji yafunguka sakata la Heche kuzuiwa mpakani

Dar es Salaam. Baada ya kuenea kwa taarifa za kuzuiwa kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema, John Heche kuvuka mpaka wa Sirari kuingia nchini Kenya, Idara ya Uhamiaji imesema kiongozi huyo ameondoka nchini kwa kuvuka mpaka na kuingia nchi jirani bila kufuata taratibu na Kanuni za Uhamiaji zilizoundwa chini ya Sheria ya Uhamiaji Sura ya 54….

Read More

Ouma apigia saluti Azam FC

KOCHA Mkuu wa Coastal Union Mkenya, David Ouma amesema anaiheshimu Azam FC kutokana na ubora wa wachezaji ilionao, huku akitoa tahadhari kwa nyota wa kikosi hicho. Ouma amezungumza hayo wakati timu hizo zikitarajia kupambana kesho katika mchezo wa kwanza wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii utakaopigwa saa 10:00 jioni kwenye Uwanja wa New Amaan…

Read More

SERIKALI KUANDAA MIPANGO 2,480 YA MATUMIZI BORA YA ARDHI KATIKA KIOINDI CHA MIAMI 4 ,VIJIJI 4,679 KATI YA VIJIJI 12,333 NCBI NZIMA

Na Vero Ignatus,Arusha SERIKALI imeweza kuandaa jumla ya mipango ya matumizi bora ya ardhi 2,480 katika kipindi cha miaka minne ambapo vijiji 4,679 vimewekwa katika mipango hiyo kati ya vijiji 12,333 nchi nzima.  Hayo yamesemwa Leo June 23 2025 Jijini Arusha na Katibu Mkuu  Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhandisi,Mhandisi Anthony Sanga…

Read More