Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Wa Kamati Ya Katiba, Sheria Na Bunge
Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Wa Kamati Ya Katiba, Sheria Na Bunge – Global Publishers Home Habari Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Wa Kamati Ya Katiba, Sheria Na Bunge
Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Wa Kamati Ya Katiba, Sheria Na Bunge – Global Publishers Home Habari Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Wa Kamati Ya Katiba, Sheria Na Bunge
Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imelikataa ombi la upande wa Jamhuri la kutaka kuifanyia marekebisho hati ya mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi baada ya Mahakama kulikubali pingamizi la wakili Peter Madeleka. Uamuzi huo umetolewa na Hakimu Mkuu Mkazi, Gwantwa Mwankuga wakati akitoa uamuzi shauri la uhujumu uchumi namba 5195 la 2025…
Tishio la Vita kati ya Marekani na Iran Lazidi Kuongezeka Baada ya Onyo la Trump – Global Publishers Home Habari Tishio la Vita kati ya Marekani na Iran Lazidi Kuongezeka Baada ya Onyo la Trump …
Morogoro. Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imeanza operesheni ya kuwaondoa wafanyabiashara wanaofanya biashara katika maeneo yasiyo rasmi, ikiwemo kando ya barabara, kufuatia ongezeko la wafanyabiashara wa mboga na matunda wanaovamia maeneo hayo. Akizungumza na Mwananchi leo Januari 28, Ofisa Habari wa Manispaa ya Morogoro, Lilian Heneriko, amesema operesheni hiyo ilianza Januari 26, 2026 na inatekelezwa…
Simiyu. Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (Tiseza) imeanza kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha uwekezaji wa ndani, sambamba na ukaguzi wa maeneo maalumu yaliyotengwa kwa ajili ya uanzishaji wa kongani za viwanda nchini. Imeelezwa kuwa kampeni hiyo inalenga kuyafikia makundi mbalimbali yakiwemo vijana wajasiriamali wadogo na wa kati, wafanyabiashara, waandishi wa habari…
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 28, 2026, imekutana na mtaalam wa uchunguzi wa patholojia Dkt Ahmed Mattaka pamoja na mtaalam wa vilipuzi Inspekta Raphael Maira. Mkutano huo wa Tume na wataalam hao umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo…
-Tume Ya Madini Yaeleza Mzabuni Kuendesha Minada ya Kimataifa Amepatikana -Wazalishaji wa Chumvi Lindi kicheko, Februari Kiwanda kuanza Kazi Na Wizara ya Madini Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Madini Eng. Yahya Samamba ameongoza kikao cha Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake kupitia na kujadili hatua za utekelezaji wa ahadi zilizotolewa Bungeni na Waziri wa Madini…
Katambi Aanza Kazi Rasmi, Apongeza Jeshi la Polisi – Global Publishers Home Habari Katambi Aanza Kazi Rasmi, Apongeza Jeshi la Polisi
Dar es Salaam. Mwanamfalme wa Saudi Arabia, Mohammed bin Salman amesisitiza kuwa ardhi ya nchi yake haitatumika kama kambi au njia ya kuishambulia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Msimamo huo amemueleza Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian katika mazungumzo ya simu yaliyofanyika jana Jumanne usiku, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa vya RFI na…
📍 Njedengwa, Dodoma, Serikali imekabidhi vitendea kazi vyenye thamani ya shilingi bilioni 23.4 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya Umwagiliaji , huku Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) ikipongezwa kwa kazi kubwa inayofanya kuhakikisha sekta ya Umwagiliaji inakuwa nguzo ya uchumi wa taifa. Vitendea kazi hivyo ni pamoja na mitambo mikubwa 19 ya kuchimba…