
CCM INAFANYA KAZI KUBWA YA KULETA MAENDELEO, WANANCHI WAENDELEE KUKIAMINI-WASIRA
Na Mwandishi Wetu MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Chama kinafanya kazi kubwa ya kuleta mabadiliko ili kuwaletea maendeleo wananchi. Aidha, amesisitiza wananchi wandelee kukiamini na kukipa nafasi Chama kiendelee kudumisha amani kwa kuwa maendeleo hayatapatikana iwapo itatoweka. Wasira alieleza hayo alipokuwa akizungumza na viongozi na wanachama wa CCM…