Yanga kuvuka bahari, yakwama dili la Lawi

YANGA wanapambana kuhakikisha wanatimiza matakwa ya kocha mkuu wa kikosi hicho, Sead Ramovic ambaye ameagiza kufanyika maboresho kadhaa katika kipindi hiki cha usajili wa dirisha dogo akitaja maeneo yanayotakiwa kuongezwa nguvu. Kati ya maeneo hayo ni beki ya kushoto na kulia ambako tayari amesajiliwa Israel Mwenda kwa mkopo akitokea Singida Black Stars. Pia anahitajika beki…

Read More

Mwabukusi aenguliwa kugombea urais TLS

Dar es Salaam. Ikiwa imebaki siku moja kabla ya kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Kamati ya rufaa za uchaguzi ya chama hicho, imemuengua wakili Boniface Mwabukusi kugombea urais, ikisema ana doa la kimaadili kinyume na kanuni za uchaguzi huo. Katika uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Agosti mwaka huu,…

Read More

Serikali yatangaza neema kwa wakulima

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ametangaza neema kwa wakulima, akiielekeza Wizara ya Kilimo, kuanzia msimu ujao wa mavuno, kuwalipa wakulima moja kwa moja na vyama vikuu vya ushirika badala ya utaratibu wa sasa wa kupitishia malipo hayo kwenye Vyama vya Msingi (AMCOS). Amesema utaratibu wa kupitisha malipo AMCOS, unawacheleweshea wakulima malipo yao na kuongeza makato….

Read More

Wamehama kambi | Mwanaspoti

WAPO wanaosema ni kabila tu mtu ndio hawezi kuhama, lakini imani ya dini watu wanahama. Wapo wanaohama vyama vya kisiasa na hata kwa ishu ya uraia wapo wanaohama na maisha yakaendelea freshi tu na huko katika ushabiki wa soka mambo nako ni moto, ingawa hutokea kwa nadra sana. Ndio, kutokana na mchezo maarufu wa soka,…

Read More