Rais wa Kenya asema yuko tayari kuzungumza na Gen-Z – DW – 23.06.2024

Maandamano hayo yaliandaliwa kwenye mitandao ya kijamii na kwa kushiriki maandamano hayo mabarabarani na vijana Wakenya wengi wenye umri mdogo maarufu kama ‘Gen-Z’ ambao wamekuwa wakipeperusha maandamano hayo moja kwa moja kwenye mitandao ya kijamii. Serikali ya Ruto imejikuta katika hali ya kuduwaa huku vijana hao wakiendelea kushinikiza kutoridhika kwao kuhusu sera za kiuchumi za…

Read More

Wadau wataka uwekezaji zaidi miradi ya umwagiliaji

Njombe. Wakati Tume ya Taifa ya Umwagiliaji ikiwasilisha ombi la kuidhinishiwa bajeti ya Sh382.13 bilioni kwa mwaka wa fedha 2025/2026, wadau wa sekta ya kilimo wameitaka Serikali kuweka kipaumbele katika ujenzi wa miradi ya kimkakati ya umwagiliaji. Wamesema hatua hiyo itasaidia kukuza kilimo endelevu na cha uhakika, ambacho hakitegemei tena mvua, hasa wakati huu ambapo…

Read More

Maafisa Ugani 50 wa BBT Korosho Wapewa Pikipiki – Hatua Mpya Katika Kuinua Kilimo cha Korosho Tunduru.

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma Denis Masanja amesema,wilaya hiyo inakwenda kufanya mapinduzi makubwa ya kiuchumi kupitia kilimo cha zao la korosho, baada ya Serikali kutoa pikipiki kwa maafisa ugani ili waweze kuwafikia wakulima kwa urahisi. Masanja,amesema  hayo wakati akikabidhi  jumla ya pikipiki 50 kwa maafisa ugani kilimo wa BBT Korosho wa wilaya hiyo…

Read More

Alliance v Ceasiaa vita ya ‘Top 5’ WPL

ACHANA na vita ya ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kati ya JKT Queens na Simba Queens, kuna mchuano mwingine mkali wa kuwania nafasi ya tano kati ya Alliance Girls na Ceasiaa Queens. Hadi sasa nafasi ya tatu ambayo iko Yanga Princess na nne Mashujaa Queens zimejihakikishia nafasi hizo kutokana na pointi zao haziwezi kufikiwa…

Read More

Pingamizi Mwakinyo latupiliwa mbali | Mwanaspoti

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Alhamisi imefanya uamuzi mdogo wa kutupilia mbali pingamizi lililoweka na bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo katika kesi ya madai inayomkabili dhidi ya Kampuni ya Promosheni ya Ngumi za Kulipwa, Paf Promotion. Pingamizi hilo lililosikilizwa mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahakama ya Kisutu, Amiri Msumi lilitupiliwa …

Read More

Sheikh Twaha ahimiza wanasiasa kuhubiri amani, mshikamano

Waumini wa dini ya Kiislamu (Sunni) mkoani Morogoro wamekusanyika kwenye swala ya Eid-ul -Adh – haa iliyofanyika katika viwanja vya shule Sekondari Forest Hill Manispaa ya Morogoro katika ibada ambayo imeongozwa na Imam Abdalaah Ahmad leo Ijumaa Juni 6, 2025. Eid-ul -Adh – haa ni sikukuu inayoadhimishwa na Waislamu ulimwenguni kote kufuatia kukamilika kwa ibada…

Read More