WAZIRI KOMBO: TANZANIA ITAENDELEA KUUNGA MKONO JUHUDI ZA KULETA AMANI NA USALAMA UKANDA WA MAZIWA MAKUU

Waziri Mambo ya Nje na Uashirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameeleza kuwa Tanzania ikiwa ni mwasisi wa Jumuiya ya Ukanda wa Maziwa Mkuu (ICGLR) itaendelea kushirikiana na nchi Wanachama wa Jumuiya hiyo na Jumuiya ya Kimataifa katika juhudi za kutafuta amani ya kudumu kwenye ukanda huo. Waziri Kombo ameeleza hayo alipozungumza…

Read More

Maeneo saba kushindaniwa tuzo za utalii

Dodoma. Serikali imetaja maeneo saba ya ubora yatashindaniwa katika Tuzo za Utalii Duniani Kanda ya Afrika na Bahari ya Hindi kwa mwaka 2025 (World Travel Awards), zitakazofanyika Juni 28, 2025 jijini Dar es Salaam. Maeneo hayo ni eneo bora kwa utalii Afrika, bodi bora ya utali, kivutio bora cha utalii Afrika,  hifadhi bora zaidi Afrika,…

Read More

MHE. SILAA ATEMBELEA SOKO LILILOUNGUA CHANIKA

MBUNGE wa Jimbo la Ukonga na Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa, amefanya ziara ya kutembelea soko la Chanika leo Septemba 29, 2024, ambalo lilipatwa na moto hivi karibuni. Mhe. Silaa aliongozana na viongozi wa soko na kukagua uharibifu mkubwa uliofanyika, ambapo aliona athari za moja kwa moja kwa wafanyabiashara na…

Read More

Mpango kulinda rasilimali za bahari huu hapa

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikipigia chapuo upatikanaji nwa tija katika uchumi unaotokana na maji maarufu ‘uchumi wa buluu’, mpango wa kulinda na kuendeleza rasilimali zilizopo baharini umezinduliwa. Kampeni mpya yenye lengo la kufufua uchumi wa buluu wa Afrika Mashariki imezinduliwa na shirika la Ascending Africa. Kampeni hiyo iliyopewa jina la Kilindini inalenga kushughulikia hitaji…

Read More

STEVE NYERERE ATAKA HATUA KALI KWA WANAODHALILISHA WATOTO WA KIKE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Msanii maarufu Steven Nyerere ametoa wito kwa mamlaka husika kuchukua hatua kali dhidi ya wahusika wa vitendo vya udhalilishaji kwa watoto wa kike, akisisitiza kuwa haki na utu wa binadamu lazima vilindwe kwa gharama yoyote. Kupitia ujumbe aliouandika, Steven Nyerere alieleza kutoridhishwa kwake na majibu mepesi yanayotolewa kuhusiana na matukio ya udhalilishaji wa watoto wa…

Read More

Rais Samia afanya uteuzi, yumo Balozi Sirro

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali akimteua IGP mstaafu Balozi Simon Sirro kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Madini la Taifa (Stamico). Balozi Sirro anachukua nafasi ya Meja Jenerali mstaafu, Michael Isamuhyo ambaye amemaliza muda wake. Taarifa iliyotolewa leo Aprili 5, 2025 na Katibu Mkuu Kiongozi Dk Moses…

Read More