MUHIMBILI IPO TAYARI KUWA KINARA WA MABADILIKO KUBADILI MTAZAMO KUJIUA
::::::::: Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) Dkt. Dellilah Kimambo amesema kuwa jamii inatakiwa kubadili mitazamo juu ya jambo la kujiua na kuamsha dhamira ya pamoja ya kuokoa maisha, kupunguza unyanyapaa ili Kujenga mustakabali wa kizazi kinachojali afya ya akili. Akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya Kuzuia Kujiua Duniani leo Septemba 10, 2025…