ASKARI WAWILI WASHIKILIWA KWA MAUAJI YA DEREVA BODABODA

…………..,….. Na Ester Maile Dodoma  Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia Askari polisi wawili  kwa kumjeruhi na kusababisha kifo Cha frank Sanga Mtias mwenye umri wa Miaka 32 ambaye ni  mkulima mkazi wa Mkomwa ,Mtaa wa Kusenha Matumbulu jijini Dodoma . Hayo ameyasema Kamanda wa jeshi la polisi  Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi wa…

Read More

CCM YAPUUZA KAMPENI ZA ‘SAMIA MUST GO’ ZILIZOANDALIWA NA VIJANA WA CHADEMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, ameweka wazi msimamo wa chama chake kuhusu kampeni mpya inayoratibiwa na vijana wa CHADEMA (BAVICHA) yenye kauli mbiu “Samia Must Go”. Akizungumza leo kwenye mkutano na wahariri na waandishi wa habari waandamizi uliofanyika katika ofisi ndogo za CCM, Lumumba, jijini Dar es Salaam, Dkt….

Read More

VIDEO: Maria Sarungi apatikana, aahidi kuzungumza kesho

Dar es Salaam. Mwanaharakati Maria Sarungi ambaye alidaiwa kutekwa leo nchini Kenya, amepatikana huku akiahidi kuzungumza zaidi kesho baada ya kutulia. Taarifa ya kutekwa kwa Maria ilitolewa leo Jumapili Januari 12, 2025 na taasisi ya kimataifa ya kutetea haki za binadamu ikisema:  “Maria Sarungi Tsehai, mhariri huru wa vyombo vya habari nchini Tanzania na mtetezi…

Read More

VIONGOZI WA VYAMA VYA SIASA WAHIMIZWA KUWAHAMASISHA WANANCHI KIJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA MPIGA KURA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe William Lukuvi ametoa rai kwa viongozi wa vyama vya siasa viongozi wa dini viongozi wa kimila na viongozi wengine kushirikiana katika kuhimiza wananchi kwenda kujiandikisha kwa sababu ni haki yao. Wito huo umetolewa leo tarehe 11/10/2024 wakati wa…

Read More

Sowah awapiga bao Dube, Ahoua

KATIKA msimu huu wa Ligi Kuu Bara vita ya ufungaji imekuwa kali zaidi kuliko misimu uliopita kwa wachezaji wengi kuibuka na kuonyesha makali – mmoja kati yao akiwa ni Jonathan Sowah wa Singida Black Stars. Takwimu zinaonyesha mshambuliaji huyo ndiye mwenye ufanisi mkubwa katika kufumania nyavu akiwa amefunga mabao mengi ndani ya muda mfupi ukilinganisha…

Read More