Iko wapi nafasi ya viongozi wanawake Chadema?

Licha ya ahadi za kuboresha uwakilishi wa wanawake katika uongozi wa juu wa chama, matokeo ya uchaguzi wa hivi karibuni yanaendelea kuonyesha pengo la kijinsia. Ushindani mkali, ukosefu wa rasilimali na hofu ya kukabiliana na wagombea waliopo ni baadhi ya sababu zilizotajwa na vyanzo vya ndani kuhusu ni kwa nini wanawake hawakujitokeza kwa wingi kugombea…

Read More

Al-Nassr ikikubali mkataba wa €40m Szczesny.

Cristiano Ronaldo anaripotiwa kuungana na mchezaji mwenzake wa zamani wa Juventus Wojciech Szczesny, huku Al-Nassr wakipanga uhamisho wa Euro milioni 40. Kipa huyo wa zamani wa Arsenal, kulingana na Tuttosport, yuko tayari kumaliza miaka saba huko Turin. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alisemekana kutaka kusalia katika msimu huu wa joto, lakini ameona makubaliano…

Read More

Fadlu: Mastaa Simba waliitaka Dabi

KOCHA wa Simba, Fadlu Davids, amepongeza juhudi za wachezaji wa timu hiyo baada ya ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya TMA Stars na kutinga 16 Bora ya Kombe la Shirikisho, lakini akifichua kuhusu Dabi ya Kariakoo iliyoota mbawa saa chache kabla ya kupigwa kwake, akisema Simba waliiitaka sana. Fadlu alisema kuahirishwa kwa dabi kulifanya wachezaji…

Read More

EQUITY NA TALEPP KUZINDUA MAPINDUZI SEKTA YA NGOZI

:::::: Benki ya Equity Tanzania imeingia makubaliano ya ushirikiano na Chama cha Watengenezaji wa Bidhaa za Ngozi Tanzania, TALEPPA, kwa lengo la kufungua fursa mpya katika sekta ya ngozi na kuimarisha viwanda vya ndani,Makubaliano hayo yameambatana na uzinduzi wa Mradi wa Viatu vya Shule Tanzania, TALSSI, unaolenga kuongeza thamani ya ngozi ya ndani na kuchochea…

Read More

Meridianbet Yawapeleka Wachezaji Kwenye Dunia ya Miungu Kupitia Mchezo Mpya – Gates of Olimpia

WAPENZI wa michezo ya slot, Meridianbet inawaletea mchezo mpya wenye mandhari ya kifalsafa na kihistoria: Gates of Olimpia – kazi ya kipekee kutoka kwa wabunifu maarufu wa michezo ya kasino, Expanse Studios. Katika mchezo huu, wachezaji wanaalikwa kuingia kwenye ulimwengu wa hadithi za Kigiriki, ambapo kila mzunguko wa slot unaweza kufungua milango ya zawadi kubwa…

Read More

KISHINDO CHA TAMASHA LA UTAMADUNI RUVUMA,RAIS SAMIA APONGEZWA

   Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed ,akizungumza na wamiliki wa hoteli kuhusu fursa za Tamasha la Kitaifa la Utamaduni Baadhi ya wamiliki wa hoteli wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Ahmed Abbas Ahmed (hayupo pichani) wakati  ,akizungumza na wamiliki wa hoteli kuhusu fursa za Tamasha la Kitaifa la Utamaduni *Rais Samia apongezwa *Wafanyabiashara…

Read More