Raia wa kigeni 7,000 wanaofanya biashara ndogondogo wakamatwa

Dar es Salaam. Baada ya kilio cha wafanyabiashara kuhusu kuwepo kwa raia wa kigeni wanaofanya biashara ndogondogo nchini Tanzania, Idara ya Uhamiaji limewakamata raia 7,069 wanaofanya shughuli hizo. Hatua ya kukamatwa kwao, kwa mujibu wa idara hiyo, imetokana na uchunguzi wa miezi minne kuanzia Januari hadi Aprili 2025, katika mikoa yote nchini. Hata hivyo, uchunguzi…

Read More

Asilimia 31 ya watoto Mara wanabeba mimba

Tarime. Asilimia 31 ya watoto wenye umri kati ya miaka 15 – 19 katika Mkoa wa Mara wanapata mimba za utotoni, jambo linaloelezwa kuwa na madhara katika ustawi wa watoto na jamii nzima mkoani humo. Hayo yamebainishwa leo Agosti 22, 2024 mjini Tarime na Mratibu wa Huduma za Afya na Uzazi na Mtoto Mkoa wa…

Read More

Mzee Mallya azikwa, chuki na visasi vyatajwa mazishini

Moshi. Mzee Isaac Malya (72), aliyeuawa kwa kupigwa na kitu kizito nyumbani kwake, amezikwa,  huku Paroko wa Parokia Teule ya Kifuni, Padre Thomas Tingo akionya jamii kuacha roho za chuki na visasi, akisema zimekuwa chanzo cha mauaji yanayotikisa familia na taifa kwa ujumla. Mzee Malya amezikwa leo, Desemba 7, 2024 nyumbani kwake Kibosho Umbwe Onana,…

Read More

Mabadiliko ya kijamii yanavyochochea mijadala ya malezi

Tunaishi katika nyakati ambazo maarifa kuhusu malezi ya watoto yamepata kipaumbele kikubwa, tofauti na miaka ya nyuma. Pamoja na kuongezeka kwa mijadala kuhusu malezi kwenye majukwaa mbalimbali, suala hili limelenga zaidi hisia za watafiti kuliko ilivyokuwa zamani. Kila siku, tafiti mpya zinaendelea kuchapishwa zikichunguza changamoto zinazoyakumba malezi ya watoto. Hali hii inaweza kuleta wasiwasi kwa…

Read More

Wafanyakazi wanavyoweza kudhibiti maradhi ya kisukari

Ugonjwa wa kisukari unahitaji udhibiti wa makini wa lishe, kwani chakula kinachochaguliwa na jinsi kinavyoliwa kinaweza kuwa na athari kubwa kwa kiwango cha sukari mwilini. Hivyo basi, kwa wafanyakazi wenye kisukari wanapaswa kuwa na mpango wa lishe ili kudhibiti hali hii na kuendelea kuwa na afya bora. Mpango huu unahusisha kula milo mikuu mitatu kwa…

Read More

Simulizi jinamizi la ajali kwa maeneo haya Mbeya

Mbeya. Wakati zikiripotiwa ajali zinazoua makumi ya watu katika Mlima Iwambi jijini Mbeya, wakazi wa Mtaa wa Ndejele uliopo eneo hilo, wamesimulia namna walivyochoka kuokota maiti za ajali mara kwa mara, huku wakiitaka Serikali kuchukua hatua. Wamesema eneo hilo limekuwa hatari kwa ajali za mara kwa mara zinazohusisha pikipiki, bajaji, hiace na magari ya abiria…

Read More

Watatu wafariki Manyara, ajali ikihusisha magari matano

Hanang’. Watu watatu wamefariki dunia na wengine watano wamejeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari matano na pikipiki, eneo la Mogitu wilayani Hanang’ Mkoa wa Manyara. Ajali hiyo imetokea eneo la mteremko wa Mogitu katika barabara kuu ya Singida-Babati. Eneo hilo kulikuwa kumetokea ajali nyingine iliyohusisha magari mawili ya mizigo iliyosababisha njia kufungwa na magari kushindwa kupita,…

Read More