Mwenyekiti Chadema Jimbo la Iringa afariki dunia

Iringa. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Septemba 19, 2025. Nyalusi ambaye amewahi kuwa diwani Kata ya Mivinjeni, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa (2010 – 2020), amefariki duinia akipatiwa matibabu kwenye chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi wa karibu (ICU), kwenye Hospitali…

Read More

Betting Sites 5 Bora Tanzania za Ushindi: Ushindi Unaanzia Hapa!

Katika miaka ya hivi karibuni, tasnia ya michezo ya kubashiri nchini Tanzania imepata umaarufu mkubwa sana. Watanzania wengi wanapenda kubashiri michezo mbalimbali hasa hasa soka, ikifatiwa na basketball, na mengineyo, kwa matumaini ya kushinda fedha za ziada. Hapa chini, tumekusanya orodha ya tovuti 5 bora za kubashiri nchini Tanzania, ambazo zimepata umaarufu sana kwa huduma…

Read More

Sabasaba imeisha itumike kama shamba darasa la Nanenane

Wapenzi wa safu hii, napenda kuwasalimia na kuwakaribisha kwenye makala hii ya ushauri. Mimi ni mwandishi wa habari wa kujitegemea na kwa muda mrefu nimekuwa pia mdau mkubwa wa maonesho mbalimbali hapa nchini. Kwa wengi, Maonyesho ya Sabasaba au Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) yanachukuliwa kama maonesho makubwa zaidi nchini Tanzania. Sababu kubwa…

Read More

Watatu walivyombaka na kumlawiti mtoto wa darasa la sita

Moshi. Ni ushetani au ni changamoto ya afya ya akili? Hili ni swali linaloumiza wengi kwa sasa baada ya wanaume watatu wilayani Rombo, kumbaka mtoto anayesoma darasa la sita kwa miezi mitatu mfululizo wakipeana zamu kufanya ufedhuli huo. Lakini sheria imechukua mkondo wake, baada ya kushindwa kupangua adhabu ya kifungo cha miaka 30 jela walichohukumiwa…

Read More

MAFUNZO YA BARAZA LA WAFANYAKAZI WA OWMS

Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi.Alice Mtulo, akizungumza na wajumbe wa Baraza la Wafanyakazi wa Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali, wakati akifunga Mafunzo kuhusu Udhibiti Msongo wa Mawazo, Maandalizi ya Kustaafu katika utumishi na Uongozi na Dhana ya Ujumuishi wa Anuai za Kijamii yaliyofanyika mkoani Dodoma. Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo…

Read More

Nafasi nyingine za ajira zaidi ya 800 zatangazwa

Dar es Salaam. Serikali imetangaza nafasi zaidi ya 800 za ajira katika kada mbalimbali ikiwemo ualimu, udereva, utaalamu misitu pamoja na watendaji wa vijiji. Nafasi hizo ni kutoka halmashauri tatu za wilaya za Kakonko, Mbulu, Iringa, mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa nafasi (600) pamoja na Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) wanaohitaji watu 252….

Read More

ZUHURA: MICHEZO NI MWAROBAINI WA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA KWA WAFANYAKAZI

Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Bi. Zuhura Yunus amewasisitiza wafanyakazi wa sekta mbalimbali nchini kujenga tabia ya kushiriki michezo na mazoezi kwa ujumla ili kuimarisha afya zao na kuepuka magonjwa yasiyoyakuambukiza ambayo kwasasa ameeleza ni changamoto inayowakabili watu wengi ulimwenguni. Bi. Zuhura ametoa wito huo wakati akifunga…

Read More