Azam fc yatua kwa Mmorocco

MABOSI wa Azam FC wako katika harakati za kumsaka mrithi wa Yousouf Dabo aliyetimuliwa Septemba 3, mwaka huu kutokana na mwenendo mbaya wa matokeo ndani ya kikosi hicho na sasa taarifa zinasema ipo katika mazungumzo ya kumnasa Kocha Rachid Taoussi, raia wa Morocco. Taoussi aliyezaliwa Februari 6, 1959, inaelezwa yupo katika mazungumzo na viongozi wa…

Read More

Rich Panda kutoka Meridianbet ndiyo suluhisho

  MABINGWA wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wamekujia na mchezo mpya wa Sloti ya kasino mitandaoni unafahamika kama Rich Panda. Mchezo huu unakupa fursa ya kupiga mkwanja wa kutosha. Ukicheza mchezo wa Rich Panda kutoka Meridianbet unapata fursa ya kujishindia mamilioni kuptia Sloti hii ambayo inabamba zaidi mjini kwasasa. Kwanini Ucheze Rich Panda?…

Read More

Kiut Bingwa Provincal CUP | Mwanaspoti

KIUT imedhihirisha ubora wake baada ya kuifunga DB Oratory  kwa pointi 72-54 katika fainali ya kombe la Provincial kwenye Uwanja wa Donbosco, Oysterbay. Mashindano hayo ya kombe la Provincial yaliandaliwa na kituo cha Donbosco, Oyster bay, yakishirikisha DB VTC, Don Rua, IFM, Kigamboni Academy, DB Oratory, MUHAS  na KIUT. Katika mchezo huo, KIUT ilidhibiti eneo…

Read More

Kocha Serengeti afichua siri ya mafanikio

KOCHA wa timu ya taifa la Tanzania kwa vijana chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’,  Aggrey Morris, amefichua siri ya mafanikio ya timu yake kufuzu kwa mashindano ya Afcon U17 2025, kwenye Kanda ya Cecafa baada ya kuifunga Sudan Kusini na kutinga fainali huko Uganda. Tanzania na Uganda zimejihakikishia nafasi ya kuwakilisha Kanda ya Cecafa…

Read More

Chopa ya Yanga yaliamsha kwa Mkapa

Wakati mashabiki wa Yanga wakiendelea kufurika katika Uwanja wa Benjamin Mkapa, juu angani kuna burudani ya aina yake inaendelea. Nje ya uwanja, kuna mistari na mashabiki wanaingia uwanjani na wengine wakiwa ndani tayari, lakini ile chopa ya Yanga nayo imekatiza hapa uwanjani na kuibua shangwe. Chopa hiyo imezunguka mara mbili mbili juu ya eneo la…

Read More

Kigoma yaanza kuibua vipaji | Mwanaspoti

CHAMA cha Kikapu Mkoa wa Kigoma kimetamba kuwa na viwanja wanaochipukia katika mchezo huo ambao ni toleo jipya linalotarajiwa kuwa kutisha siku za usoni. Katibu wa chama hicho, AQ Anasi ameliambia Mwanaspoti kuwa mwamko umekuwa mkubwa kwa vijana wanaojifunza kucheza kikapu. Anasi ambaye pia ni kocha msaidizi wa timu ya taifa ya vijana umri wa…

Read More

Mzazi usifurahie mtoto akiwahi kutembea ni tatizo

Dar es Salaam. Katika makuzi yake, Jane Elias anasema aliambiwa alianza kutembea akiwa na miezi saba. Amesema wazazi wake walimweleza kuwa walifurahia, ingawa hivi sasa ni mateso kwake. “Huwa nikivaa viatu vinapinda na kuisha upande mmoja, mwanzo sikuelewa ni kwa nini lakini nikiwa tayari nimeshajitambua na kuwa na maisha yangu, niliamua kwenda hospitali kujua nina…

Read More

USHIRIKA WATAKIWA KUSAIDIA KUINUA UCHUMI WA WAKULIMA

  NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo anayeshughulikia  Ushirika na Umwagiliaji, Dkt. Suleiman Serera, ameeleza kuwa, Serikali inaitaji kuona Ushirika wa kisasa ambao unafuata mifumo ya kidigiti na kuzingatia taratibu na miongozo ya uendeshaji Ili kuwainua Wakulima. Ameeleza kuwa, kukiwa na Ushirika wa kisasa wakulima watapata huduma kwa haraka mahala walipo ikiwa ni pamoja…

Read More