Mashabiki wamkataa Folz Mbeya, uongozi wajibu

Baada ya kuibuka na ushindi katika mechi nne mfululizo msimu huu zikiwamo mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga imesimamishwa na Mbeya City kwenye mwendelezo wa Ligi Kuu Bara wakati timu hizo zikishindwa kufungana.  Hii ni mara ya kwanza Yanga inashindwa kupata ushindi baada ya kucheza mechi tano za mashindano msimu huu, huku mashabiki wakimtaka…

Read More

Mrithi wa Kinana kupatikana Januari 2025

Dodoma. Licha ya kutajwa majina saba katika nafasi ya makamu mwenyekiti mpya wa CCM-Bara, mrithi atafahamika katika Mkutano Mkuu Maalumu wa chama hicho unaotarajiwa kufanyika Januari 18 hadi 19, 2025. Kwa mujibu wa taarifa kutoka ndani ya CCM, mkutano huo unalenga kuziba pengo lililoachwa wazi na Abdulrahman Kinana, aliyejiuzulu nafasi ya makamu mwenyekiti -Bara Julai…

Read More

Tujitazame upya wapi tulijikwaa | Mwananchi

Vurugu zilizotokea nchini siku ya Uchaguzi Mkuu, Oktoba 29, 2025 zimeacha alama nzito katika historia ya Tanzania. Maisha ya watu yamepotea, wengine wamejeruhiwa, mali za umma na za binafsi zimeteketea kwa moto, huku miundombinu muhimu kama barabara, vituo vya mwendokasi, ofisi za Serikali na magari, mali za watu binafsi yakiwamo magari, vituo vya mafuta na…

Read More

Nondo za Aunt Leila kwa wanandoa, wenza

Dar es Salaam. Katika ulimwengu wa kisasa unaoendeshwa na teknolojia, mitandao ya kijamii na majukwaa ya kidijitali yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Sambamba na ukuaji huo, changamoto mbalimbali za kijamii zinazowakumba watu zinawafanya kuhitaji msaada na ushauri ili kukabiliana nayo. Hapa ndipo watoa nasaha kupitia mitandaoni wanapochukua nafasi muhimu kwa kutoa miongozo,…

Read More

CCM YAMPITISHA DEOGRATIUS SENI KUWANIA UDIWANI

:::::::  Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia kikao chake kilichofanyika jijini Dodoma tarehe 28 Julai 2025, imempitisha Deogratius Seni Kata Shagihilu mkoa wa shinyanga kuwa miongoni mwa wanachama walioteuliwa kushiriki kura za maoni kwa nafasi ya udiwani kupitia chama cha Mapindunzi CCM Kata ya Shagihilu. Seni, ambaye ni…

Read More

WAJUMBE WA CCM KURA ZA MAONI SIKILIZENI WANANCHI

****** Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amesema CCM itahakikisha inateua wagombea wazuri wanaokubalika kwa wapiga kura, akiwataka wajumbe wa vikao vya kura za maoni kusikiliza maoni ya wananchi wanapoenda kupiga kura. Halikadhalika, Balozi Nchimbi ametoa wito kwa Watanzania wote, hususan wenye sifa za kupiga kura, kuwapatia maoni yao…

Read More

Tamaa ya fedha inavyochangia ongezeko la talaka – 4

Dar es Salaam.  “Talaka zina madhara, maana watoto wanahangaika, mimi najitafuta hakuna hata mtoto mmoja anayejuliwa hali na baba yake. Je, kwa wasiokuwa na uwezo wa kuhangaika wanaishije? Nikiona hali ngumu nakwenda kutafuta maisha nje ya nchi. Tofauti na hapo, watoto wangekuwa wanateseka,” anasema Saadia. Anasema hata nyumba anayoishi sasa ameijenga kwa fedha za mikopo…

Read More

Waliofariki ajalini Iringa kuagwa kesho

Mafinga. Miili ya watu sita kati ya saba waliofariki dunia katika ajali ya gari la kubebea wagonjwa lililogongana na pikipiki ya magurudumu matatu, maarufu ‘Guta’ inatarajiwa kuagwa kesho Jumatatu Aprili 21, 2025. Inaagwa miili sita, kwa sababu mmoja tayari umeshatambuliwa na kuchukuliwa na ndugu zake. Ajali hiyo ilitokea Aprili 19, 2025, saa 12:30 asubuhi katika…

Read More

TRA, CEOrt wakutana kujadili uboreshaji wa ulipaji kodi

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imeelezea dhamira yake ya kushirikiana kwa karibu na Jukwaa la Watendaji Wakuu (CEO Roundtable of Tanzania -CEOrt) katika kuendeleza mijadala yenye lengo la kuboresha mazingira ya biashara na kurahisisha utekelezaji wa sheria za kodi kupitia sekta binafsi ili kuongeza mapato kwa maendeleo ya nchi. Haya yamejitokeza katika kikao…

Read More