Ulimwengu, Coastal ni suala la muda

UONGOZI wa Coastal Union uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa straika wa TP Mazembe ya DR Congo, Thomas Ulimwengu baada ya mazungumzo chanya kati ya kikosi hicho cha ‘Wagosi wa Kaya’ na kambi ya nyota huyo. Taarifa kutoka Coastal Union zilizonaswa na Mwanaspoti zimedai mazungumzo yamefikia hatua nzuri kwa ajili ya…

Read More

Simanzi yatawala Manyika Sr akizikwa Dar

January 28, 2026 imekuwa siku ya huzuni kwa wadau na wapenzi wa soka Tanzania baada ya kuagwa na kuzikwa kwa mwili wa nyota wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Peter Manyika Sr. Kuanzia asubuhi hadi jioni  simanzi ilitawala katika nyuso za waliokusanyika kumuaga shujaa huyo aliyeacha kumbukumbu nzuri katika soka nchini. …

Read More

Iran Yamjibu Trump: Hatuna Mazungumzo na Marekani

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wazi kuwa hajawasiliana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff katika siku za hivi karibuni wala kuomba kufanyika kwa mazungumzo yoyote na Washington. Akizungumza na vyombo vya habari vya serikali, Araghchi alikanusha madai yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump, akisisitiza kuwa…

Read More