MAKAMU WA RAIS DKT.NCHIMBI AWASIHI VIONGOZI WA DINI KUWEKEZA KATIKA KUFUNDISHA MAADILI MEMA KWA KIZAZI CHA SAS

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasihi Viongozi wa Dini kuendelea kuwekeza katika kufundisha maadili mema kwa kizazi cha sasa ili kuwa na Taifa zuri baadaye. Makamu wa Rais amesema hayo wakati aliposhiriki Futari iliyoandaliwa na Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT) iliyohusisha Viongozi wa Dini na…

Read More

KONA YA MSTAAFU: Wastaafu tujihadhari na mikopo ya kununua madeni yetu

Wiki za karibuni mstaafu wetu amekuwa akishangazwa na mfululizo wa matangazo kutoka hizi benki kadhaa za dotcom zikijinasibu kwamba zitakuwa zinawasaidia wastaafu ‘kwa kununua madeni ya mikopo yote tuliyojiingiza kwa shida zetu zisizoisha, halafu benki hizo zitatusaidia kwa kutukopesha mikopo mingine juu ya ile iliyo nunuliwa. Pole yetu. Iko hivi. benki zinazodai kuwa ziko karibu na…

Read More

TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa, wananchi waonywa

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tahadhari na angalizo la mvua kubwa kwa mikoa kadhaa, ikisisitiza kuwa wananchi wanapaswa kuchukua tahadhari stahiki ili kuepuka madhara yanayoweza kutokana na hali ya hewa mbaya. Katika taarifa hiyo, TMA imetahadharisha kuwa Ijumaa ya  Machi 20, 2026, kunatarajiwa kuwa na mvua kubwa…

Read More

Ubunifu wa Kijiografia Kushughulikia Mapengo Muhimu ya Data ya Maji huko Asia – Masuala ya Ulimwenguni

Kaya kadhaa zinaishi kando ya mto huko West Java, Indonesia. Data ya kijiografia ni muhimu katika kuboresha usimamizi wa rasilimali za maji. Credit: Pexels/Tom Fisk Maoni na Kareff Rafisura, Orbita Roswintiarti na Huang Qi (bangkok, Thailand) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Machi 20 (IPS) – Kotekote Asia, mipango mipya inaonyesha jinsi…

Read More

Kachwele apelekwa HFX Wanderers | Mwanaspoti

MSHAMBULIAJI Mtanzania, Cyprian Kachwele amejiunga na Halifax Wanderers FC ya Ligi Kuu Canada kwa mkataba wa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Whitecaps FC 2. Mkataba huo unatamatika Desemba 31 mwaka huu na inaelezwa Kachwele amesajiliwa ili kukiongeza nguvu kikosi cha Wanderers. Inaelezwa sababu ya nyota huyo kutolewa kwa mkopo ni kumpa muda zaidi wa kupata…

Read More

Ambokile atuliza presha Mbeya City

MSHAMBULIAJI wa Mbeya City, Eliud Ambokile amesema licha ya mwenendo usioridhisha wa kikosi hicho msimu huu katika Ligi Kuu Bara, lakini bado wana nafasi ya kubadilisha upepo mbaya unaowaandama, kutokana na ubora wa wachezaji waliopo kikosini. Akizungumza na Mwanaspoti, Ambokile, alisema bado wana wachezaji wazuri wanaoweza pia kubadilisha hali iliyopo, licha ya ushindani mkali uliopo…

Read More