WIZARA YA MADINI, TAASISI WAJADILI UTEKELEZAJI AHADI ZAKE BUNGENI MWAKA 2025/26
-Tume Ya Madini Yaeleza Mzabuni Kuendesha Minada ya Kimataifa Amepatikana -Wazalishaji wa Chumvi Lindi kicheko, Februari Kiwanda kuanza Kazi Na Wizara ya Madini Dodoma. Katibu Mkuu Wizara ya Madini Eng. Yahya Samamba ameongoza kikao cha Menejimenti ya Wizara na Taasisi zake kupitia na kujadili hatua za utekelezaji wa ahadi zilizotolewa Bungeni na Waziri wa Madini…