Kauli ya Diwani wa Mikocheni Eng.Nzenzely baada ya kujiandikisha daftari la wapiga kura “Ni haki yako”
Diwani wa Kata ya Mikocheni Eng. Nzenzely Hussein Ajiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura, Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza kwa Wingi Dar es Salaam, Oktoba 14, 2024 – Diwani wa Kata ya Mikocheni, Eng. Nzenzely Hussein, amejitokeza rasmi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa, huku akiwahimiza wananchi wa Mikocheni na Tanzania…