Kauli ya Diwani wa Mikocheni Eng.Nzenzely baada ya kujiandikisha daftari la wapiga kura “Ni haki yako”

Diwani wa Kata ya Mikocheni Eng. Nzenzely Hussein Ajiandikisha kwenye Daftari la Wapiga Kura, Atoa Wito kwa Wananchi Kujitokeza kwa Wingi Dar es Salaam, Oktoba 14, 2024 – Diwani wa Kata ya Mikocheni, Eng. Nzenzely Hussein, amejitokeza rasmi kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa, huku akiwahimiza wananchi wa Mikocheni na Tanzania…

Read More

Arajiga, wenzake waula FIFA, wapewa mechi ya Algeria

Mpanga, Said Hamdani na Salum Nasir wameteuliwa na Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) kuchezesha mchezo wa kufuzu fainali za Kombe la Dunia baina ya Botswana na Algeria utakaochezwa Francistown, Botswana Machi 21, 2025. Mara ya mwisho Arajiga kuchezesha mechi za kimataifa ilikuwa ni Januari 19, 2025 ambapo alichezesha mchezo wa Kundi B wa Kombe…

Read More

Kealey:Mbongo anayeubonda kama Alves Australia

INAWEZEKANA hii ikawa ni mara yako ya kwanza kumsikia beki wa kulia wa Macarthur FC, Kealey Adamson anayecheza soka la kulipwa Australia. Kama ni hivyo basi huyu naye ni Mtanzania anacheza timu hiyo na Charles M’Mombwa ambaye amekuwa akiitwa mara kwa mara kwenye kikosi cha Taifa Stars. Wawili hao ni marafiki na huenda mbeleni wakawa…

Read More

Lembeli: Operesheni Tokomeza ilinipa presha, iking’oa mawaziri wanne wa JK

Moja ya operesheni za Serikali zilizofanyika nchini na kugubikwa na mauaji ya watu, dhuluma na ukatili kwa wananchi ni Operesheni Tokomeza, iliyolenga kukabiliana na ujangili kwenye hifadhi za Taifa uliokuwa umekithiri wakati huo. Operesheni hiyo ilianza Oktoba 2023 hadi Novemba 2014, baada ya Serikali kusitisha kutokana na malalamiko ya wananchi kuhusu vitendo vya ukiukwaji wa…

Read More

Nyamoga atoa neno kwa Tarura marekebisha ya barabara sehemu korofi

Iringa. Salamu ya Mhandisi wa Wakala wa Barabara Vijijini (Tarura) kutoka Tamisemi, Emmanuel Mhiliwa ya ‘Kihesa Mgagao hoyeee’ na kujibiwa ‘hoi’ ilitosha kuonyesha wananchi wamekasirika. Hayo yamejiri leo Ijumaa Aprili 26, 2024 katika ziara ya mbunge wa Kilolo, Justine Nyamoga aliyefika kukagua athari za mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mengi nchini. Wananchi hao wa Kijiji cha…

Read More

TIC yatabiri 2024 kuwa mwaka wa rekodi ya uwekezaji

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Taifa cha Uwekezaji (TIC) Gilead Teri amesema huenda mwaka huu Tanzania ikavunja rekodi ya kujasili miradi mingi ya uwekezaji iliyodumu kwa miaka 11. Teri alisema hadi Novemba 29, 2024 TIC ilikuwa imesajili jumla ya miradi 800, idadi ambayo ni kubwa ikilinganishwa na miaka ya hivi karibuni lakini…

Read More

Wafabiashara Simu 2000 wagoma, wamtimua DC, RC awapoza

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amewaomba wafanyabiashara wa eneo la Soko la Simu 2000 kufungua maduka na vibanda vyao vya biashara ili kuruhusu mazungumzo kati yake na wafanyabiashara hao aliyopanga yafanyike Jumamosi tarehe 13 Julai mwaka huu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Chalamila ametoa kauli hiyo leo Jumatatu alipofika katika eneo…

Read More

Rais wa Comoro achomwa kisu

  RAIS wa Comoro, Azali Assoumani amejeruhiwa katika shambulio la kisu, mamlaka zimesema.“Asante Mungu, maisha yake hayako hatarini,” amesema msemaji wa serikali. MORONI, Comoro Alidungwa kisu alipokuwa akihudhuria mazishi ya kiongozi wa kidini karibu na mji mkuu Moroni lakini “alijeruhiwa kidogo” na amerejea nyumbani, msemaji Fatima Ahamada aliambia shirika la habari la Reuters. Aliongeza kuwa…

Read More