KAMPENI ZA UBUNGE JIMBO LA MCHINGA ZAZINDULIWA RASMI LEO

Kampeni za Ubunge katika Jimbo la Mchinga, Kata ya Rutamba, zimezinduliwa rasmi leo kwa kushirikisha viongozi mbalimbali wa Kitaifa na Mkoa, kampeni hizo zimezinduliwa rasmi kupitia Mbunge wa Jimbo hilo, Mama Salma Kikwete, akiambatana na mumewe, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Awamu ya nne Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, pamoja na wabunge kutoka…

Read More

AKU yaanzisha shahada mpya ya uzamili kwa wauguzi

Dar es Salaam. Katika hatua ya kihistoria inayolenga kuboresha utoaji wa huduma ya afya ya msingi nchini, Chuo Kikuu cha Aga Khan (AKU) kimezindua programu ya kwanza wa Shahada ya Uzamili kwa wauguzi nchini. Hatua hiyo inaendeleza dhamira ya taasisi hiyo ya kuboresha huduma za afya kupitia wataalamu waliobobea, wenye utu, na wanaojali jamii. Uzinduzi…

Read More

Lina PG Tour: Vita ya fimbo yahamia Arusha

WAKALI 38 wanatarajiwa kuchuana katika mashindano maalumu ya kumuenzi Lina Nkya ya Lina PG Tour, kwenye viwanja vya Gymkhana, jijini Arusha, Julai 11 hadi 14, mwaka huu. Mashindano haya yanayoingia raundi ya tatu kati ya tano, yanamuenzi nyota huyo ambaye enzi za uhai wake alifanya kazi kubwa ya kuilea gofu ya wanawake kwa mafanikio hadi…

Read More

Biashara hewa ukaa inavyobadili maisha wakazi wa Tanganyika, Waziri Jafo aguswa

Katavi. Wakazi wa Kijiji cha Kapanga katika Wilayani Tanganyika mkoani Katavi, wamesema biashara ya hewa ukaa inayoendelea kutekelezwa kiwilaya, inazidi kuwanufaisha baada ya fedha zake kujenga miradi mbalimbali ya maendeleo Wilaya hiyo ni miongoni mwa zinazonufaika na utunzaji wa mazingira kwa kufanya biashara ya hewa ukaa,  na kwa mwaka  inapata zaidi ya Sh14 bilioni zinazosaidia…

Read More

Serikali yasaka bilioni 3 kujenga daraja Mto Mpiji

Serikali imesema inaendelea na juhudi za kutafuta fedha kiasi cha Sh tatu bilioni kwa ajili ya ujenzi wa daraja la Mto Mpiji ili kuunganisha Kibaha na Kibwengere Wilaya ya Ubungo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Hayo yameelezwa leo Ijumaa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, (TAMISEMI), Zainabu Katimba wakati akijibu…

Read More

Wafanyabiashara Coco Beach waeleza magumu ya kimbunga Hidaya

Dar es Salaam. Wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao eneo la Coco  Beach wameeleza magumu ya  kimbunga Hidaya kilivyodhoofisha biashara zao baada ya wateja kupungua. Biashara zao hazikuwa zikienda sawa kama kawaida kwa sababu ule utamaduni wa watu kwenda kwenye fukwe hizo kupunga hewa haukuwepo kwa siku mbili zilizopita. Kwa kawaida wananchi wanaokwenda kupunga hewa ni miongoni…

Read More