
VIJANA RUANGWA WAENDELEA KUJITOKEZA KUWASILISHA MAOMBI YA WAHUDUMU WA AFYA NGAZI YA JAMII KUPITIA MPANGO JUMUISHI
Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Chirangalile kata ya Makanjiro Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi Mohammed Rashidi Abdallah akitoa maelezo kwa mwombaji nafasi za Wahudumu wa Afya Ngazi ya Jamii kupitia Mpango Jumuishi Viola Ngonyani Na. Elimu ya Afya kwa Umma. Vijana katika maeneo mbalimbali katika Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi weendelea…