JUKWAA LA KIMATAIFA LA UTALII WA VYAKULA KUKUTANISHA WABOBEZI WA UTALII ZAIDI YA 300

………….. Arusha Jukwaa la Pili la Kimataifa la Utalii Wa Vyakula la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) Kanda ya Afrika lililoanza leo Aprili 22, 2025 jijini Arusha linatarajia kukutanisha washiriki takribani 300 wakijumuisha viongozi waandamizi katika sekta ya utalii na ukarimu, watumishi wa serikali, pamoja na wataalamu wa masuala ya upishi kutoka ndani na…

Read More

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Manyara Yakabidhiwa Gari

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Mkoa wa Manyara imefanikiwa kupata gari mpya ambayo itasaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila sikukwa wakati. Akizungumza mara baada ya kukabidhi gari hiyo aina ya Toyota Hilux Jijini Dodoma, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo amesema kuwa uwepo wa gari hiyoutasaidia utekelezaji wa…

Read More

Cheza Beach Penalties ndio mpango mzima leo

  MPANGO mzima kwasasa ni kupiga penalty tu kupitia mchezo mpya wa Kasino wa Beach Penalties, Mchezo huu umegeuka kua mchezo pendwa kwakua watu wanashinda mkwanjakirahisi kutoka na uwepesi wake wa kucheza. Umahiri wako wa kupiga mikwaju ya Penalty ndio inaweza kukufanya ukaondoka na mamilionikupitia mchezo huu pendwa kwasasa, Kwani utapaswa kupiga penalty zako tano na…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: Nabi anapitia tanuri la moto Sauzi

RAFIKI yetu Nasreddine Nabi wakati anakuja nchini kwa mara ya kwanza kufanya kazi ya kuinoa Yanga, hakukuwa na mbwembwe wala hekaheka nyingi za vyombo vya habari. Ilikuwa hivyo kwa sababu hakuingia kama staa kwa vile alitoka kuachana na El Merreikh ya Sudan kufuatia mwenendo usioridhisha wa timu hiyo katika Ligi ya Mabingwa Afrika na ligi…

Read More

Maumivu ya bei yaja, usafirishaji kwenye meli juu

Dar es Salaam. Wakati kukiwa na malalamiko ya kupanda kwa bei za bidhaa za chakula kutokana na kupaa kwa mafuta ya dizeli na petroli, huenda kilio hicho kikaongezeka baada ya ongezeko kubwa la gharama za usafirishaji wa mizigo kwa meli. Sababu ya ongezeko hilo inaelezwa ni ukosefu wa usalama katika safari za meli zinazotoka Ulaya…

Read More

Uhispania na Brazil kushinikiza hatua za ulimwengu kulipa ushuru wa hali ya juu na kukosesha-maswala ya ulimwengu

Iliyowasilishwa wakati wa UN’s Mkutano wa 4 wa Kimataifa juu ya Ufadhili wa MaendeleoT, inafanyika wiki hii huko Sevilla, pendekezo linaonyesha shida inayokua: watu tajiri mara nyingi huchangia kidogo kwa fedha za umma kuliko walipa kodi wa kawaida, shukrani kwa viwango vya chini vya ushuru na mianya ya kisheria. “Nchi zetu zinahitaji mapato zaidi na…

Read More