Wadau Shinyanga wataka Serikali ipunguze utitiri wa kodi

Shinyanga. Wadau wa masuala ya kodi mkoani Shinyanga wameishauri Serikali kuondoa utitiri wa kodi kwenye biashara na taasisi ili kupunguza changamoto zinazosababisha baadhi ya wafanyabiashara kukwepa kodi na kushindwa kupiga hatua za maendeleo. Wadau hao walitoa maoni yao leo Ijumaa, Januari 17, 2025, katika mkutano wa Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi. Wamesema makato…

Read More

Radi yaua watano, yajeruhi sita Chunya

Mbeya. Watu watano kutoka jamii ya wafugaji wamepoteza maisha na wengine sita kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi kutokana na mvua kubwa iliyonyesha usiku. Tukio hilo limetokea katika Kijiji cha Isangawane, Kata ya Matwiga, Wilaya ya Chunya, Mkoa wa Mbeya na inaelezwa kuwa hili ni tukio la pili kwa mwezi huu ambapo radi iliyotokea awali…

Read More

TETESI ZA USAJILI: Duke Abuya katika rada za Wagosi, simba…

WAGOSI wa Kaya wapo bize na maandalizi ya msimu ujao wa mashindano, hususani Kombe la Shirikisho Afrika na kwa sasa imeanza mazungumzo na kiungo mshambuliaji Mkenya, Duke Abuya anayekipiga Singida Black Stars (zamani Ihefu). Nyota huyo inaelezwa huenda akaondoka kikosini humo baada ya mkataba aliokuwa nao Ihefu kumalizika, huku kukiwa hakuna mazungumzo mapya ya kumuongezea,…

Read More

Bakwata yafunguka matukio ya utekaji, Serikali yafafanua

Geita/Dar. Wakati Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) na wadau wengine wakisisitiza uchunguzi huru dhidi ya matukio ya utekaji na mauaji, Serikali imesema kwanza jamii inapaswa kujiuliza kwanini matukio hayo yanatokea kila unapokaribia uchaguzi. Katika hoja yake hiyo, Serikali imesema ni rahisi kutupa lawama kwa Jeshi la Polisi juu ya matukio hayo, huku ikieleza badala…

Read More

Mfanyabiashara aliyedai kuhujumiwa na halmashauri,  achunguzwa

Arusha. Halmashauri ya Jiji la Arusha imeanza uchunguzi wa kampuni ya The Tanganyika Wilderness Camps Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara wa utalii, Wilbard Chambulo, iliyobainika kufanya kazi nchini bila kusajiliwa kwenye mfumo wa kodi wa Tausi. Kampuni hiyo imebainika kufanya kazi za utalii hapa nchini hivi karibuni bila kusajiliwa katika mfumo wa Serikali wa Tausi, huku…

Read More