Watoa huduma sekta ya madini waja kivingine

Dar es Salaam. Watoa huduma katika sekta ya madini wameanzisha umoja wao ambao utawawezesha kupeana taarifa na kuongeza ushiriki wa wazawa katika sekta ya madini. Umoja huo pia unalenga kuhakikisha watoa huduma hao wanakuwa miongoni mwa wanufaika katika Sh3.1 trilioni zinazotumika kila mwaka katika ununuzi wa madini. Mwamvuli huo uliopewa jina la Tamisa ikiwa ni…

Read More

NJOLO ACHUKUA FOMU UBUNGE JIMBO LA TUNDURU KUSINI

Tunduru – Ruvuma. Jumla ya Wanachama 8 wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma, wamejitokeza kuchukua fomu kwa ajili ya kugombea Ubunge katika Uchaguzi Mkuu wa mwezi Oktoba Mwaka huu. Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilayani Tunduru Yusuf Mabema amesema,kati ya wanachama hao 3 wanatoka Jimbo la Tunduru Kaskazini akiwemo aliyewahi kuwa Mbunge wa…

Read More

Sheria mpya za Israeli zinazopiga marufuku UNRWA tayari zinaanza – maswala ya ulimwengu

Ikiwa itatekelezwa, sheria hizo mbili mpya zilizopitishwa mnamo Oktoba zitakataza wakati huo huo viongozi wa Israeli kuwasiliana na UNRWA na kupiga marufuku shirika hilo kufanya kazi katika Gaza iliyojaa vita na Yerusalemu ya Mashariki na Benki ya Magharibi, kulingana na msemaji wa UNRWA Jonathan Fowler. Kama hivyo, tayari kubadilika ni jukumu la Israeli kama nguvu…

Read More

Yanga yashtuka kwa Maxi | Mwanaspoti

ULIMUANGALIA Maxi Nzengeli kwenye mechi zake tatu za kirafiki za Sauzi? Mabosi wa Yanga wameshtukia jambo na kumuita mezani kuanza mazungumzo mapya ya mkataba mpya. Maxi atakapoanza msimu ujao ndio utakuwa mwaka wa mwisho wa mkataba wake wa miaka miwili na Yanga aliousaini akitokea Union Maniema ya DR Congo. Kwenye mechi tatu za kirafiki kiungo…

Read More

Serikali yaondoa kusudio kupinga shauri la Mpina, sasa kusikilizwa Jumatatu

Dar/Dodoma. Mahakama Kuu Masjala Kuu Dodoma imepanga kusikiliza shauri la kuenguliwa katika uteuzi mgombea urais kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, baada ya maombi kutolewa na kujibiwa kwa maandishi. Mahakama imetoa maelekezo hayo leo Jumatano, Septemba 3, 2025, baada ya wajibu maombi, Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kuachana na mpango…

Read More

Wawili wapoteza maisha kwa kushambuliwa na fisi

Sengerema. Watu wawili wamepoteza maisha baada ya kushambuliwa na fisi saa tano usiku wa kuamkia leo Jumapili Agosti 11, 2024 katika Kitongoji cha Kabusuli, wilayani Sengerema, Mkoa wa Mwanza. Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Kabusuli, Halfan Shindile ameiambua Mwananchi Digital kuwa waliofariki dunia ni pamoja na Devid Thobias (42) mkazi wa Kijiji cha Kalumo na…

Read More