Wataja vikwazo vinne elimu ya ufundi

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikiwa imeanza utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 pamoja na Mitaala mipya kwa elimu ya Sekondari, wadau wametaja vikwazo wa utoaji wa elimu ya amali ikiwamo ufinyu wa bajeti. Pia, wametaja kutoandaliwa kwa walimu kufundisha mitaala hiyo, ukosefu wa miundombinu na vifaa, uelewa mdogo…

Read More

Serikali yaanza kujenga maabara za Kisasa Kilimanjaro,Shule elfu nne kunufaika

Wakati sayansi na teknolojia ikikuwa kwa kasi nchini, serikali imeanza utekelezaji wa ujenzi wa maabara za kisasa za Teknolojia, habari na mawasiliano(Tehama) mkoani Kilimanjaro, lengo likiwa ni kuongeza idadi ya vijana watakaoweza kushindana kwenye uchumi wa kidigitali. Maabara hizo za kisasa zitajengwa katika shule za sekondari zaidi ya 4000 ikiwemo za kata, katika mikoa ya…

Read More

Matibabu ya kibingwa na bobezi kupatikana ngazi za msingi

Iringa. Huduma za afya za kibingwa na ubingwa bobezi sasa zimeanza kupatikana katika afya ya msingi, baada ya kuzinduliwa rasmi kwa mpango wa kambi za madaktari bingwa waliosambaa nchi nzima, kutoa matibabu kwenye hospitali zote 184 za halmashauri. Kwa kawaida, kambi za huduma za madaktari bingwa, zimekuwa zikifanyika katika hospitali za rufaa za kanda au…

Read More

Afrika yaonyeshwa njia ya kukuza uchumi wake

Capetown. Mataifa ya Afrika yametakiwa kubadili mtazamo wa kutegemea kusaidiwa na mataifa yaliyoendelea na badala yake, yajikite katika kukuza ujasiriamali kwa kuwa na mikakati thabiti na sera zinazovutia ukuaji wa biashara ili kukuza uchumi wake. Pengine kwa rasilimali za asili Afrika inaongoza lakini bara hilo la pili kwa idadi ya watu duniani, siyo miongoni hata…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Moussa Diaby ameona mambo yasiwe mengi

UTAAMUA unachotaka katika maisha. Na wakati mwingine ukitaka kumuua nyani usimtazame sana usoni. Rafiki yetu Mfaransa Moussa Diaby ameamua kutomuangalia sana nyani usoni. Katika mfano huu mgeuze nyani kuwa maisha yako ya kawaida. Yeye hatakuwa wa kwanza na wala hawezi kuwa wa mwisho. Diaby alitua England msimu mmoja uliopita akitokea Bayer Leverkusen. Aliamua kuvaa jezi…

Read More

Magereza yote kuendesha kesi kimtandao ifikapo 2027

Dodoma. Waziri wa Mambo ya Ndani, Innocent Bashungwa amesema watatafuta kila namna kupata rasilimali fedha zitakazowawezesha kujenga makasha ya mahakama mtandao kwenye magereza yote nchini ifikapo mwaka 2027. Bashungwa ameyasema hayo leo Machi 21, 2025 wakati akikabidhiwa makasha mtandao 10 yaliyotengenezwa na Mahakama Tanzania. Amesema kutumika kwa makasha hayo kutakuwa ni daraja litakalounganisha mahabusu na…

Read More

Rais Samia ampa zawadi ya fedha Changalawe na wenzake

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemzawadia zawadi ya fedha nahodha wa timu ya taifa ya Faru Weusi wa Ngorongoro, Yusuph Changalawe na wenzake kutokana na kufanikiwa kushinda medali tatu za shaba katika michuano ya All African Games. Mabondia waliofanya vizuri katika mashindano hayo mbali ya Changalawe ni Mussa Maregesi…

Read More

Salum Kihimbwa aingia anga za Mashujaa

WAKATI uongozi wa Fountain Gate, ukimsimamisha kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Salum Kihimbwa kwa utovu wa nidhamu hadi pale itakapotoa taarifa nyingine, nyota huyo kwa sasa anawindwa na maafande wa Mashujaa kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Bara. Nyota huyo amesimamishwa kwa muda usiojulikana baada ya kumpiga mwamuzi katika mechi ya kirafiki kati…

Read More