Rais Samia Afungua Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika (The 3rd G25 Africa Coffee Summit) jijini Dar.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia viongozi pamoja na wageni mbalimbali walioshiriki Mkutano wa Tatu wa Nchi zinazozalisha Kahawa Barani Afrika (The 3rd G25 Africa Coffee Summit) katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam tarehe 22 Februari, 2025. Rais wa Jamhuri…

Read More

Mziki wa Hamza Simba washtua mastaa

KIWANGO alichokionyesha beki wa Simba, Abdulrazack Hamza katika mechi tatu dhidi ya Coastal Union (Ngao ya Jamii), Tabora United na Fountain Geti za Ligi Kuu, kimewaibua baadhi ya mastaa wa timu za Ligi Kuu kumzungumzia wakisema akiendelea kukomaa atamnyang’anya mtu namba kikosini. Beki huyo aliyesajiliwa na Simba msimu huu kutoka Cape Town United ya Afrika…

Read More