ZOEZI LA KUHAMA KWA HIARI LIPO PALEPALE – WAZIRI CHANA

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amesisitiza kuwa zoezi la kuhama kwa hiari kwa wananchi wa Ngorongoro linaendelea huku akisisitiza kwamba Serikali inafanya maboresho mbalimbali ili kurahisisha zoezi hilo. Ameyasema hayo Septemba 12, 2024 alipokuwa akizungumza na watumishi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro katika Makao Makuu ya…

Read More

Wafanyakazi wa majumbani 700 wapewa mafunzo Veta

Dar es Salaam. Zaidi ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo ili waweze kufanya kazi zao kwa ufanisi kupitia mtalaa mpya ulioanzishwa na Mamlaka ya Ufundi Stadi (Veta). Mtaala huo ulioanza Aprili mwaka jana unatekelezwa na Veta kwa kushirikiana na Shirika la CVM ukilenga kuboresha utendaji kazi wa wasaidizi hao na kuondoa malalamiko yaliyokiwapo awali…

Read More

RAIS SAMIA AMEKATA KIU MRADI WA MAJI MAKONDE, MTWARA

Na Shilatu, E.J Wananchi wa wilaya ya Newala, Tandahimba na Mtwara hawatakaa wamsahau Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kutokana na mradi wa maji wa Makonde ambapo Serikali kwa kushirikiana na Shirika la CI Imate Resilient Infrastructure Development Facility (CRIDF) wameamua kuboresha uzalishaji na kuboresha huduma ya maji ya Makonde…

Read More

Usher agombana na Kevin Hart jukwaani baada ya kuvamia tamasha lake bila mualiko

Kevin Hart alishangaza watazamaji huko Inglewood, California kwenye tamasha la Usher hii ni baada ya mchekeshaji huyo kutumbuiza bila shati, akimuiga Usher na kuimba ‘Nice & Slow.’ Usher alijiunga haraka na Hart jukwaani, na kumuuliza ‘Unafanya nini?!’ Hart  kisha alitania kuhusu makubaliano ya kuimba wimbo huo, kabla ya kuondoka hatimaye akazua maneno mengi mitandaoni. ‘Katika…

Read More

Vijana wapewa ‘mchongo’ sekta ya kilimo

Dar es Salaam. Vijana wametakiwa kujitokeza kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kwa kujiunga katika vikundi, ili kuwezesha upatikanaji wa mitaji kwa urahisi, uzoefu na elimu ya kifedha. Kwa kufanya hivyo imeelezwa kutasaidia wanafunzi waliosoma masuala ya kilimo kutokimbia fani hiyo. Mbali ya hayo, imeshauriwa kuboreshwa miundombinu na usafirishaji, kuongezwa mitaji ya uwekezaji, wakopaji kuwa na…

Read More