Tume yakutana na wataalam wa patholojia, vilipuzi

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 28, 2026, imekutana na mtaalam wa uchunguzi wa patholojia Dkt Ahmed Mattaka pamoja na mtaalam wa vilipuzi Inspekta Raphael Maira. Mkutano huo wa Tume na wataalam hao umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo…

Read More

Ulimwengu, Coastal ni suala la muda

UONGOZI wa Coastal Union uko katika hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa aliyekuwa straika wa TP Mazembe ya DR Congo, Thomas Ulimwengu baada ya mazungumzo chanya kati ya kikosi hicho cha ‘Wagosi wa Kaya’ na kambi ya nyota huyo. Taarifa kutoka Coastal Union zilizonaswa na Mwanaspoti zimedai mazungumzo yamefikia hatua nzuri kwa ajili ya…

Read More

Simanzi yatawala Manyika Sr akizikwa Dar

January 28, 2026 imekuwa siku ya huzuni kwa wadau na wapenzi wa soka Tanzania baada ya kuagwa na kuzikwa kwa mwili wa nyota wa zamani wa Yanga na Taifa Stars, Peter Manyika Sr. Kuanzia asubuhi hadi jioni  simanzi ilitawala katika nyuso za waliokusanyika kumuaga shujaa huyo aliyeacha kumbukumbu nzuri katika soka nchini. …

Read More