Tume yakutana na wataalam wa patholojia, vilipuzi
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 28, 2026, imekutana na mtaalam wa uchunguzi wa patholojia Dkt Ahmed Mattaka pamoja na mtaalam wa vilipuzi Inspekta Raphael Maira. Mkutano huo wa Tume na wataalam hao umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo…