Ouma: Kukosekana Tchakei pigo, lakini ni fursa kwa wengine
KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Mkenya, David Ouma amesema kukosekana kwa kiungo mshambuliaji wa kikosi hicho, Marouf Tchakei, ni pigo kubwa kwa timu hiyo, ingawa ni nafasi pia nyingine kwa wachezaji wengine kucheza na kuziba pengo lake. Nyota huyo raia wa Togo, aliyehusishwa kujiunga na Yanga katika dirisha dogo la usajili Januari 2026, kisha…