Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni

Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili kushughulikia mapungufu yaliyopo, hayo yameangaziwa katika Mkutano wa Sita wa Education Evidence for Action (EE4A) na EDF unaofanyika kila baada ya miaka miwili kabla ya kuzinduliwa rasmi baadaye mwaka huu. Ripoti hiyo inapendekeza tafsiri ya haraka ya…

Read More

Jafary Maneno wa JKT humwambii kitu kwa Pacome, Chama

KIUNGO mshambuliaji wa JKT Tanzania, Jafary Maneno, amewataja baadhi ya wachezaji wa Ligi Kuu Tanzania Bara anaowakubali na kwamba anajifunza mengi kutoka kwao. Maneno alisema wachezaji hao ni Pacome Zouzoua na Maxi Nzengeli wanaocheza Yanga, pia Elie Mpanzu, Libasse Gueye na Clatous Chama wanaokipiga Simba, huku akibainisha wanachokifanya uwanjani vinamvutia na kujifunza vingi. “Wapo wengi…

Read More

MKUTANO WA TISA WA WAKUU WA NCHI NA SERIKALI TICAD WAHITIMISHWA JIJINI YOKOHAMA

 :::::::::  Mkutano wa Tisa wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Kimataifa wa Tokyo kuhusu Maendeleo ya Afrika (Tokyo International Conference on African Development) umehitimishwa jijini Yokohama, Japan, tarehe 22 Agosti 2025, baada ya siku tatu za majadiliano yaliyoendeshwa chini ya kaulimbiu ya “Kuibua Uvumbuzi wa Pamoja na Afrika.” Mkutano huo ulifungwa rasmi na Waziri…

Read More

Atupwa jela miaka 12 kwa kumuua mkewe

Mtwara. Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Mtwara, imemuhukumu kifungo cha miaka 12 jela Ally Abrahaman (45), mkazi wa Kijiji cha Mbagala-Mbuyuni, Kata ya Mkokona mkoani Mtwara, baada ya kupatikana na hatia ya kuua bila kukusudia. Abrahaman alipatikana na hatia ya kumsababishia kifo Catherine Chivale (69), ambaye ni mkewe, baada ya kumshambulia kwa kumpiga sehemu…

Read More

Madhara ya mke kuwa muongeaji kupitiliza Yapa Hapa – Global Publishers

Last updated Sep 14, 2025 USHAWAHI kukutana na mwanamke anaongea sana? Yaani yeye ni bandika bandua. Likiisha hili anaingiza hili, anajua kila kitu. Ana ujasiri wa kuzungumza kwelikweli hata kama waliomzunguka wote ni wanaume.  Akianza kuongea jambo lake hakubali kushindwa. Anataka aongee, asikilizwe na ikiwezekana waliomzunguka wote wawe upande wake. Haoni aibu. Hajishtukii hata…

Read More

El Mencho azikwa kwenye jeneza la dhahabu, ulinzi mkali

Mexico. Kiongozi wa genge la dawa za kulevya la Jalisco New Generation, Nemesio Oseguera Cervantes, maarufu El Mencho, amezikwa jana Jumatatu katika jeneza la dhahabu linalong’aa, likiwa limezungukwa na mashada makubwa ya maua na ulinzi mkali. Mazishi hayo yamevutia hisia mchanganyiko ya heshima, hofu na sintofahamu kwa wakazi wa jimbo la Jalisco. Jeneza hilo lilielezwa…

Read More