Manusura bado wamekwama baada ya jengo kuporomoka Tanzania – DW – 17.11.2024
Jengo hilo lenye ghorofa nne lilianguka takriban saa 3:00 asubuhi (saa 12:00 GMT) Jumamosi katika soko lenye shughuli nyingi la Kariakoo katikati ya mji mkuu wa kibiashara, Dar es Salaam. Watu 13 wamethibitishwa kufariki kutokana na kuporomoka kwa janga hilo, kikosi cha zima moto kilisema. Watu wasiopungua 84 walikuwa wameokolewa wakiwa hai kutoka kwenye eneo la…