WAKALA WA VIPIMO YAPANGA KUNG’ARA SHIMUTA

Watumishi wa Wakala wa Vipimo wakifanya mazoezi ya viungo kabla ya kushiriki katika michezo mbalimbali …… Ikiwa imebaki miezi miwili kuelekea mashindano ya Shirikisho la Michezo la Mashirika ya Umma,Taasisi na Makampuni Binafsi ( SHIMUTA) ambayo yamepangwa kufanyika katika Viwanja vya CCM Mkwakwani mkoani Tanga kuanzia tarehe 10 hadi 24 Novemba,2024, Wakala wa Vipimo (WMA)imefanya…

Read More

WAZIRI SIMBACHAWENE AIPONGEZA TCAA KWA UTENDAJI BORA KATIKA MAONESHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA 2025

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene, ameipongeza Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) kwa namna inavyotekeleza majukumu yake kwa weledi na mchango wake katika kukuza maendeleo ya sekta ya usafiri wa anga nchini. Waziri Simbachawene alitoa pongezi hizo alipotembelea banda la TCAA katika…

Read More

Marekani yatoa onyo vitisho kuishambulia Israel

Dar es Salaam. Baada ya Iran na washirika wake kutangaza kuishambulia Israel, hatimaye Marekani imeibuka na kuikingia kifua Israel. Rais wa Marekani, Joe Biden akizungumza kutoka Ikulu ya White House, amethibitisha kujitolea kwa usalama wa Israeli dhidi ya vitisho vyote kutoka kwa Iran, ikiwa ni pamoja na makundi ya Hamas, Hezbollah, na Huthis. Rais Biden…

Read More

Mbowe, Wenje wakacha ‘fungate’ ya Chadema, Boni Yai na Sugu wamo

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehitimisha kikao chake cha kupanga mikakati mbalimbali ikiwamo utekelezaji wa kushinikiza mabadiliko ya mifumo ya uchaguzi kabla ya kuushiriki. Oktoba 2025, Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu wa kuwachagua, madiwani, wabunge na Rais. Kikao hicho cha Retreat ‘fungate’ kilianza Januari 30 hadi leo Jumanne, Februari 4,…

Read More

Gachagua awindwa na polisi, sababu yatajwa

Nairobi. Maofisa wa Jeshi la Polisi nchini Kenya wamezingira makazi ya aliyekuwa Naibu Rais, Rigathi Gachagua kwa lengo la kumkamata kwa kile kinachotajwa kuwa ni tuhuma za kuchochea vurugu nchini humo. Hata hivyo jitihada za polisi hao hazikuzaa matunda kwani hawakufanikiwa kumkamata mwanasiasa huyo. Tovuti ya Daily Nation imeripoti jana kuwa mwishoni mwa wiki, Naibu…

Read More