Ripoti Mpya ya Elimu Yaangazia Uhitaji wa Kutumia Utafiti kwa Sera Elekezi Kukabiliana na Umaskini wa Kujifunza Ulimwenguni
Ijumaa, 5 Septemba 2025 – Embu, Kenya. Ripoti mpya ya elimu imetoa wito kuchukua hatua za haraka kulingana na ushahidi wa kitafiti ili kushughulikia mapungufu yaliyopo, hayo yameangaziwa katika Mkutano wa Sita wa Education Evidence for Action (EE4A) na EDF unaofanyika kila baada ya miaka miwili kabla ya kuzinduliwa rasmi baadaye mwaka huu. Ripoti hiyo inapendekeza tafsiri ya haraka ya…