Ziara ya SADC Live Your Dream maandalizi yafikia pazuri

Wakati siku zikiyoyoma za kuelekea kwenye Ziara ya Barabarani inayodhamiria kuonesha ndoto za wengi zenye mitazamo chanya yenye kuleta utofauti kwenye jamii mengi yatarajiwa huku maandalizi yakitajwa kukamilika hivi karibuni Ziara ya Barabara ya SADC Live Your Dream ni tukio muhimu ambalo litalenga kukuza ubadilishanaji wa utamaduni, kujieleza kwa nia ya sanaa, Utalii wa SADC…

Read More

WAZIRI MKUU AWATAKA MABALOZI KUISHI FALSAFA ZA RAIS DKT. SAMIA

******   WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka mabalozi kuiishi falsafa ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuimarisha mahusiano na kukuza diplomasia ya kiuchumi kati ya Tanzania na mataifa mbalimbali duniani. Mheshimiwa Majaliwa amesema kufanya hivyo kutaiwezesha Tanzania kuvutia wawekezaji katika sekta mbalimbali zikiwemo za viwanda, kilimo, biashara pamoja na kupata masoko ya bidhaa…

Read More

Mahakama ya katiba yakosoa mageuzi ya uchaguzi Ujerumani – DW – 30.07.2024

Mageuzi hayo yaliyoratibiwa na muungano tawala wa Kansela Olaf Scholz yanalenga kuweka ukomo wa viti katika bunge la Ujerumani la Bundestag kufikia viti 630 kutoka idadi ya sasa ya viti 736. Bunge hilo la Ujerumani linazingatiwa kuwa ndio bunge kubwa zaidi duniani ambalo limechaguliwa kidemokrasia. Nchini ujerumani, kuna mfumo mgumu wa uchaguziunaozingatia zaidi kutowa nafasi…

Read More

Majaliwa ataja njia mbadala kuwawezesha wafanyabiashara

Osaka. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali itaendelea na mikakati ya kuwaunganisha wafanyabiashara wa Tanzania na wenzao wa mataifa mbalimbali duniani, ikiwemo Japan, ili kuwawezesha kunufaika na fursa zilizopo katika mataifa hayo. Majaliwa amesema Serikali imekuwa ikifanya hivyo kwa kushiriki katika makongamano mbalimbali ya kimataifa, ambayo yamekuwa yakiwakutanisha wafanyabiashara na wawekezaji ili kuongeza tija kwenye…

Read More

Tumia mbinu hizi kulinda figo zako

Dar es Salaam. Mwili wa binadamu una viungo vingi vikiwemo vya ndani na nje. Kila kiungo kinahitaji kutunzwa ili kifanye kazi yake kwa ufasaha, baadhi utunzaji wake hutokana na aina ya maisha unayoishi kuanzia asubuhi mpaka wakati wa kulala. Baadhi ya viungo ambavyo ni muhimu kwa afya zetu ni pamoja na figo. Kazi yake kubwa…

Read More

Tanesco yafungua milango sekta binafsi kuwekeza kwenye umeme

Dar es Salaam. Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), limefungua milango kwa wawekezaji kutoka sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya nishati ili kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika na nafuu. Katika kufanikisha hilo, shirika hilo limeanzisha Mfumo wa Usimamizi wa Uwekezaji wa Tanesco (TIMS), unaomwezesha mwekezaji kutoka ndani na nje ya nchi kuona taarifa za miradi…

Read More

Askofu Rweyongeza atema nyongo kwenye jubilei

Mwanza. Kanisa Katoliki limeitaka Serikali kuheshimu fani  ya ualimu na kurejesha hadhi yake ikiwamo walimu kulipwa mshahara unaolingana na wabunge na mawaziri au zaidi pamoja na kuwaondolea kikokotoo. Akizungumza leo Jumatano Machi 19, 2025 kwenye Jubilei ya miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu Methodius Kilaini na miaka 53 ya upadri iliyofanyika Bukoba mkoani Kagera, Askofu …

Read More