Vita nane mpya ligi kuu

NDANI ya Ligi Kuu Bara achana na nani anataka kuwa bingwa, kuna vita fulani zinachukua nafasi taratibu nje na kuwania taji la ubingwa. Zitazame vita nane ambazo zinapatikana kivyake kwenye msimu huu wa ligi hiyo ukiwa unaelekea ukingoni ambazo zimekuwa zikizalisha ushindani mwingine. Simba kamchapa Azam juzi kwa mabao 3-0 ukiwa ni mchezo ambao ulikuwa…

Read More

Mwenge waikubali miradi yote 51 ya Manyara

Hanang. Mwenge wa uhuru mwaka 2025 umepitisha miradi yote 51, iliyokagua, kuzindua, kutembelea na kuweka jiwe la msingi kwenye mkoa wa Manyara, yenye thamani ya Sh71.3 bilioni. Mkuu wa mkoa wa Manyara, Queen Sendiga ameyasema hayo leo jumamosi Julai 19 mwaka 2025 kwenye eneo la Sagara akimkabidhi mwenge wa uhuru Mkuu wa mkoa wa Singida…

Read More

Vipigo mfululizo Kagera vyashtua kigogo, mastaa

HALI ya Kagera Sugar sio nzuri, kwani juzi imepoteza mechi ya nne kati ya sita ilizocheza katika Ligi Kuu Bara ya msimu huu na jambo hilo limewashtua baadhi ya wachezaji na mtendaji mkuu wa klabu hiyo, Ibrahim Mohamed waliodai sio hali ya kawaida, lakini wakawatuliza mashabiki wakisema timu hiyo inahitaji muda wa kutulia. Kagera imeshinda…

Read More

Maeneo matano Taoussi amefeli Azam FC

AZAM FC juzi usiku ililazimishwa sare ya bao 1-1 nyumbani na Namungo, ikikamilisha mechi ta tatu mfululizo bila kuonja ushindi. Azam ilianza na suluhu na Coastal Union, kisha kupata sare ya 2-2 na Simba kabla ya juzi tena kubanwa nyumbani na Namungo baada ya Gibril Sillah kufunga bao la kusawazisha dakika chache kabla ya mapumziko….

Read More