Ahoua ataweza kuivunja rekodi ya Kagere?

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Jean Charles Ahoua anaongoza orodha ya wafungaji wa Ligi Kuu Bara akiwa na mabao 12, huku timu hiyo ikisaliwa na mechi nane kufunga msimu na kuwa na kibarua kizito cha kuifikia rekodi iliyowahi kuwekwa na Meddie Kagere akiwa anaitumikia timu hiyo. Kagere aliandika rekodi ya kuwa nyota wa kigeni aliyefunga mabao…

Read More

DRC katika hali tete na fukuto la M23 kuitaka Kinshasa

Wakati dunia ikielekea kuadhimisha Siku ya Wakimbizi Duniani Juni 20, mwaka huu, nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), maelfu ya wakimbizi nchini humo walikuwa wamekimbia makazi yao kutokana na mapigano yanayoendelea. Kwa mujibu wa ‘Voice of America’, kambi ya Minova ina wakimbizi zaidi ya 3,000 wanaohifadhiwa ambao wanaishi maisha magumu bila kupata misaada. Wakuu…

Read More

Wanasayansi waikubali akili unde, wakisisitiza tahadhari

Dar es Salaam. Wanasayansi wametoa tahadhari kuwa matumizi ya akili unde (AI) kama mbadala wa mtaalamu wa afya, huchelewesha wagonjwa kutibiwa na kuchangia ongezeko la usugu wa vimelea dhidi ya dawa, huku Serikali ikitoa mwongozo. Matumizi ya akili bandia katika kujitibu, kama programu za afya ya akili au mifumo ya uchunguzi wa dalili yamekuwa yakiongezeka….

Read More

Mke asimulia dakika za mwisho za Gidabuday

“NILIPIGIWA simu na mtu ambaye aligoma kujitambulisha ni nani, na hadi leo sijamfahamu akaniambia mume wangu amegongwa na gari amefariki,” anaanza kusimulia Eva Baltazar, mke wa katibu mkuu mstaafu wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Wilhelim Gidabuday. Gidabuday alifariki alfajiri ya kuamkia Septemba 10, baada ya kugongwa na gari eneo la Maji ya Chai, Arusha…

Read More

Kocha Mbelgiji akiri Yanga imepata jembe!

KIKOSI cha Yanga inaendelea kusukwa kwa mashine mpya zikitambulishwa sambamba na wale waliokuwapo katika kikosi cha msimu uliopita wakiongezewa mikataba kama alivyofanyiwa Danis Nkane, Mudathir Yahya na Pacome Zouzoua, lakini kuna mido mmoja aliyetua ghafla Jangwani. Ndio, Yanga imeshakamilisha dili la kiungo Lassine Kouma ambaye wakati wowote kuanzia leo ataanza safari ya kuja nchini kufanyiwa…

Read More

Hizi hapa fani zinazopendwa na wengi vyuo vikuu

Dar es Salaam. Wakati dirisha la kuomba udahili kwa wanafunzi wa vyuo vikuu likifunguliwa rasmi, takwimu zinaonyesha fani nne ndiyo zinazopendwa zaidi na wanafunzi. Kwa mujibu wa takwimu mpya za Tume ya Vyuo Vikuu (TCU) zilizotolewa Mei 2025, takribani asilimia 70 ya wanafunzi waliojiunga na vyuo vikuu mwaka 2024/2025  walichagua masomo ya biashara, elimu, sayansi…

Read More

STANBIC YAZINDUA PROGRAMU MPYA YA MAFUNZO KWA WAHITIMU

*Yaahidi kukuza viongozi wa baadaye kupitia mpango huo wa mafunzo. *Programu imebadilika kuwa ya miezi 12 kwa mafunzo maalum. Asilimia 93 ya uhifadhi, kuimarisha uongozi wa kibenki na athari chanya kwa sekta za fedha. Dar es Salaam, Tanzania – Jumatano, 31 Julai 2024 – Benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kuhitimu kwa kundi la vijana waliopata…

Read More