Damaro, Tchakei, Mwanengo walivyoyaanza maisha mapya Yanga

PALE Yanga kuna majembe mapya matatu. Emmanuel Mwanengo kutoka TRA United, Marouf Tchakei na Mohamed Damaro waliotokea Singida Black Stars. Majembe hayo yameanza kazi rasmi yakicheza mechi ya kwanza katika Kombe la Mapinduzi 2026, michuano inayoendelea kwenye Uwanja wa New Amaan, Unguja. Katika mechi ya juzi dhidi ya KVZ ambayo Yanga iliibuka na ushindi wa…

Read More

Mastaa JKT Tanzania waanza upya

WACHEZAJI wa JKT Tanzania baada ya kupata suluhu mechi ya kwanza dhidi ya Azam FC iliyopigwa Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, wamejua kipi wakifanye ili waanze kuvuna pointi tatu michezo ijayo. Nahodha wa timu hiyo, Edward Songo alisema haikuwa kazi rahisi katika mechi hiyo, kwani kila timu ilipania kuanza na ushindi, hivyo michezo iliyopo mbele…

Read More

Rufaa yamwachia huru aliyefungwa miaka 30 kwa kumbaka mwanaye

Arusha. Mahakama Kuu masijala ya Iringa imemuachia huru baba aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa madai ya kumbaka mtoto wake, ikieleza ushahidi dhidi yake haukuthibitisha shtaka bila shaka. Katika utetezi wake alioutoa katika mahakama ya chini, baba huyo alidai kesi iliyokuwa ikimkabili ilikuwa ni njama kwa vile hakuwa amelipa mahari kwa wakwe zake. Mkazi…

Read More

MAWAKILI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA WELEDI NA KUZINGATIA MIIKO YA KAZI ZAO

  Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza Johari, amewahimiza Mawakili wapya wa kujitegemea walioapishwa leo kuhakikisha wanatekeleza majukumu yao kwa kuzingatia weledi, maadili, na miiko ya taaluma yao. Akizungumza wakati wa hafla ya kuapishwa kwa Mawakili hao iliyofanyika katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, Johari aliwataka wazingatie umuhimu wa kujiendeleza kielimu na kitaaluma ili…

Read More

SJMT NA SMZ ZAWEKA MIKAKATI KUIMARISHA MUUNGANO

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar, Dkt. Islam Seif Salum (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dkt. Richard Muyungi muda mfupi baada ya kuwasili katika Ofisi hizo Mjini Zanzibar leo Alhamisi Januari 22, 2026. ********************* Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali…

Read More

UN yawahamisha wafanyikazi wasio muhimu kutoka Kivu Kaskazini, DR Congo – Global Issues

Ujumbe wa Umoja wa Mataifa nchini DR Congo, MONUSCOinahamisha wafanyikazi wa utawala na wengine katika Kivu Kaskazini ambao wanaweza kuendelea kutekeleza majukumu yao kutoka mahali pengine kwa kukabiliana na kuzorota kwa hali ya usalama na kuzidisha uhasama unaohusisha kundi lisilo la Serikali la M23, vuguvugu linaloungwa mkono na Rwanda dhidi ya Serikali ya Kongo. “Hatua…

Read More