Samatta arudishwa Stars kuivaa DR Congo

KAIMU kocha mkuu wa timu ya Taifa Stars, Hemed Morocco ametangaza kikosi cha wachezaji 23 watakaoshiriki katika maandalizi ya michezo miwili ya kuwania nafasi ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (Afcon 2025) dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DR Congo).  Tanzania ambayo ipo kundi H ikiwa na pointi nne baada ya kutoka suluhu…

Read More

Chadema wahoji alipo Heche, baada ya kukamatwa na Polisi

Dar es Salaam. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimehoji mahali alipo Makamu Mwenyekiti wake   Bara, John Heche aliyekamatwa na Jeshi la Polisi katika viunga vya Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam, jana Oktoba 22, 2025. Chadema kupitia taarifa yake kwa umma iliyoitoa leo Oktoba 23, 2025 na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi, Brenda…

Read More

SERIKALI YAWAASA VIJANA KUTUMIA FURSA ZINAZOPATIKANA KUTOKANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO

 Na. Ramadhani Kissimba, WF – Dar es Salaam  Serikali imewataka vijana wanaohitimu masomo katika vyuo mbalimbali nchini kutumia fursa zinazopatikana kutokana na mabadiliko ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) ili kuweza kuendeleza maisha watakapokuwa wakifanya shughuli mbali mbali za kiuchumi kwenye sekta binafsi na sekta ya umma. Hayo yalibainishwa jijini Dar es salaam, na Naibu…

Read More

Rais Mwinyi: SMZ kujenga uwanja mpya wenye viwango vya FIFA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar inajipanga kujenga uwanja mkubwa wa michezo utakaokuwa na vigezo vinavyokubalika na Shirikisho la Soka Duniani FIFA pamoja na Shirikisho la Soka Barani Afrika CAF. Rais Dk.Mwinyi ameyasema hayo leo tarehe 25 Septemba 2024 Ikulu, Zanzibar alipokutana na…

Read More

Wanafunzi 588 kunufaika na ‘Samia Scholarship’

Jumla ya wanafunzi 588 wa shahada ya awali wamenufaika na fursa za ‘Samia Scholarships’ kwa mwaka huu 2024/2025, ambao wamepangiwa ruzuku yenye thamani ya TZS 2.9 bilioni. Wanafunzi hawa ni wenye ufaulu wa juu katika tahasusi za sayansi na waliodahiliwa katika vyuo mbalimbali kwenye fani za Sayansi, Teknolojia, Uhandisi, Hisabati na Sayansi za Tiba. HESLB…

Read More

OnaStories Yaleta Mapinduzi katika Usafiri wa Daladala kwa Kutumia Teknolojia ya Uhalisia Pepe – MWANAHARAKATI MZALENDO

TAASISI ya OnaStories imezindua makala maalum kuhusiana na kada ya usafiri wa daladala kwa mfumo wa kidijitali, kwa lengo la kuifahamisha jamii ya Kitanzania na Kimataifa kutambua historia ya usafiri huo ulipoanzia. Makala hii ni sehemu ya Mradi wa UTANZANIA, ambao unachunguza “Utanzania ni nini?” na kuuliza ni nini hasaa kinachomtambulisha Mtanzania halisi. Mradi huu…

Read More

Wahadzabe wataka viongozi waliochaguliwa waikumbuke jamii yao

Mbulu. Jamii ya Wahadzabe wanaoishi kwa uwindaji wa asili, kurina asali, kuokota matunda na wakusanyaji mizizi katika bonde la Yaeda Chini, Kijiji cha Domanga, kata ya Eshkesh, Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, wameomba viongozi waliochaguliwa kwenye nafasi za ubunge na udiwani kuikumbuka jamii hiyo kwa kutatua changamoto zinazowakabili. Kwenye uchaguzi mkuu wa Rais, mbunge na…

Read More

VIDEO: Dakika 90 za hekaheka Barabara ya Kilwa

Dar es Salaam. Ni hekaheka katika Barabara ya Kilwa inayounganisha Jiji la Dar es Salaam na mikoa ya kusini, kutokana na wakazi wa Mtaa wa Kimbangulile kuifunga kwa takribani dakika 90 wakidai kuchoshwa na ajali zinazotokea kila uchwao. Hatua hiyo imetokana na ajali iliyotokea jioni ya jana Mei 16, 2024 iliyosababisha vifo vya watu wanne…

Read More

No Mwalimu, no Edger, no problem!

KOCHA wa Fountain Gate, Mohammed Muya amesema hana wasiwasi licha ya kuwapo kwa taarifa ya nyota wawili wa kikosi hicho wanaoongoza kwa mabao, Seleman Mwalimu ‘Gomez’ na Edger Williams kunyemelewa na klabu nyingine, bado haoni tatizo linaloweza kuikwamisha timu hiyo.

Read More