SERIKALI KUJENGA KITUO JUMUISHI CHA PARACHICHI RUNGWE

SERIKALI imeanza mchakato wa ujenzi wa kituo jumuishi cha huduma za parachichi ambacho kitasaidia kuhifadhi na kuchakata zao la Parachichi kitakachojengwa eneo la Kiwira Wilaya ya Rungwe Mkoani Mbeya. Akizungumza baada ya Waziri Mkuu Kassim majaliwa ambaye yuko ziarani Mkoani Mbeya kuhoji kuhusu changamoto ya kuharibika kwa parachichi za wakulima katika eneo hilo, Mkurugenzi wa…

Read More

Ntobi avuliwa uenyekiti Chadema, mwenyewe atoa msimamo

Shinyanga. Kikao cha kamati tendaji ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kilichofanyika Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga jana Jumatano Januari 8, 2025 kimefikia uamuzi wa kumvua uongozi Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Shinyanga, Emmanuel Ntobi. Taarifa iliyotolewa leo Januari 9, 2025 na Katibu wa Chadema Kanda ya Serengeti, Jackson Mnyawami, imesema Ntobi amevuliwa nafasi…

Read More

Mkaguzi kata ya Kisangura azidi kupeleka furaha kwa wananchi

Mkaguzi kata ya Kisangura Wilayani Serengeti Mkoa wa Mara Mkaguzi Msaidizi wa Polisi A/Insp Genuine Kimario amezidi kupeleka furaha kwa wananchi anaowahudumia katani hapo kwa kutoa viti mwendo kwa wananchi wahitaji. Mkaguzi huyo amebainisha kuwa ameendelea kutoa viti mwendo hivyo kutokana na changamoto aliyoikuta kwa wananchi anao wahudumia ambapo aliwaomba wananchi watakao guswa kuwasaidia kundi…

Read More

TAHADHARI ZA KIUSALAMA ZICHUKULIWE MIGODINI.

Na Issa Mwadangala. Wafanyakazi wa Kampuni ya madini ya Makaa ya Mawe WAADHUHA (EA) TRADING COMPANY LIMITED iliyopo Kata ya Magamba Wilaya ya Songwe wametakiwa kujali usalama wao pindi wawapo kazini ili kujiepusha na majanga yanayoweza kuepukika. Kauli hiyo imetolewa Aprili 25, 2025 na Kamanda wa Polisi mkoa wa Songwe Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi…

Read More