Kesi ya ‘vigogo wa Kigamboni’ wanaodai kuchepusha fedha za Tamisemi, kuunguruma Januari 13

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga Januari 13, 2026 kuanza kusikiliza ushahidi wa upande w Jamhuri katika kesi ya kuchepusha fedha na kuisababishia Wizara ya Tamisemi hasara ya Sh165 milioni, inayowakabili washtakiwa 13, wakiwemo wakuu wa idara wa manispaa ya Kigamboni. Hatua hiyo inatokana na upelelezi wa kesi hiyo kukamilika na washtakiwa…

Read More

Tuache kauli za ukatili, dharau kwa wauguzi

Njombe. Jamii imetakiwa kuwaheshimu na kuwathamini wauguzi kama kundi muhimu linalochukua nafasi ya kipekee katika uhai na mfumo wa afya kwa kuepuka vitendo vya ukatili wa maneno, dharau na lawama zisizo na msingi. Wito huo umetolewa leo Jumanne Mei 13, 2025 na wauguzi mkoani Njombe wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani ambayo imefanyika…

Read More

Kikapu Mwanza mwendo wa dozi tu

TIMU za Crossover (CIC) na Young Profile zimeanza kwa ushindi katika michezo yao ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza, huku wachezaji Hamis Hamis na Bryan Edward waking’ara na kuibuka nyota wa michezo hiyo kwa kufunga pointi nyingi na kuzibeba timu zao. Ligi hiyo iliyoanza Agosti 4, mwaka huu, iliendelea mwisho wa wiki iliyopita kwenye…

Read More

RC Kunenge atoa maagizo tathimini maonyesho ya Nanenane Moro

Morogoro. Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Aboubakar Kunenge, amewaagiza wataalamu wa kilimo, mifugo na uvuvi waliopo kwenye maonyesho ya wakulima Nanenane Kanda ya Mashariki kuandaa taarifa ya tathmini ya maonyesho hayo ili kubaini jinsi yalivyowanufaisha wakulima wadogo, hususan katika kuongeza tija ya uzalishaji. Kunenge ametoa agizo hilo leo Jumatatu, Agosti 5, 2024 baada ya kutembelea…

Read More

Kiungo kutoka Uturuki atua KMC

KASI ya wachezaji wa Kitanzania wanaocheza soka nje kurudi nyumbani inazidi kuongezeka baada ya kiungo mshambuliaji wa zamani wa Beykoz Anadolu Spor ya Uturuki, Shafii Omary Kimambo naye kuunga juhudi akipewa mkataba wa miaka miwili klabu ya Ligi Kuu Bara, KMC. Kinda huyo wa miaka 20 hii inakuwa timu ya kwanza ya Ligi Kuu kuitumikia…

Read More

MADUHU AFUNGUKA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Wakili na mwanaharakati wa haki za binadamu, Maduhu William, ameeleza kuwa kumekuwa na mkanganyiko kwa baadhi ya watu kuhusu zoezi linaloendelea la uandikishaji wa wapiga kura. Akizungumza na Jambo TV, Maduhu amesema kuwa watu wamekuwa wakidhani kwamba zoezi hilo litatumika kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa, jambo ambalo si sahihi. Kwa mujibu wa Maduhu, zoezi…

Read More

Bulaya awashika mkono wananchi, magereza Bunda

Dar es Salaam. Mbunge wa Bunda Mjini (CCM), Ester Bulaya amesema kuwawezesha na kuwasaidia wananchi wa jimbo hilo, wakiwemo wanaoishi katika mazingira magumu ni miongoni mwa vipaumbele vyake vikuu. Kwa kuanzia Bulaya ametoa msaada wa vyakula kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu kwenye kituo cha Kuzungu, Magereza ya Wilaya ya Bunda, na kutunisha mfuko wa…

Read More

Ahoua aibeba Simba ikijiimarisha kileleni

SIMBA imeokota pointi tatu zingine ngumu kwenye mchezo uliotoa mshindi dakika za jioni ikiichapa JKT Tanzania kwa bao 1-0, ushindi ukiendelea kuwaweka kileleni katika sikukuu ya Krismasi inayoadhimishwa kesho Jumatano Desemba 25. Bao la kiungo mshambuliaji Jean Charles Ahoua aliyetokea benchi kuchukua nafasi ya Awesu Awesu akilifunga dakika ya 90+5 kwa mkwaju wa penalti baada…

Read More

MH WANU AZINDUA UGAWAJI WA VIFAA VYA MAFUNZO VETA

– Naibu Waziri Wanu Ameir azindua ugawaji wa vifaa vya Mafunzo ya Ubunifu, Ushonaji, Teknolojia ya Nguo na Umeme kwa Vyuo vya VETA 63 nchini Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imezindua ugawaji wa vifaa vya mafunzo ya ubunifu, ushonaji, teknolojia ya nguo na umeme…

Read More