WANANCHI WA MLIMBA WAMSHUKURU MHE. SAMIA KUWAFIKISHIA ELIMU YA FEDHA
Diwani wa Kata ya Ching’anda katika Halmashauri ya Mlimba Mhe. Hassan Kidapa akizungumza na wananchi waliohudhuria program maalum ya elimu ya fedha illiyotolewa na Wizara a Fedha katika Halmashauri ya Mlimba. Diwani wa Kata ya Mlimba, Halmashauri ya Mlimba Mhe. Waraji Hassan akifafanua jambo kwa wananchi wa Mlimba waliohudhuria program maalum ya elimu ya fedha…