UVCCM wajifungia wilayani Hai kufundana kuelekea uchaguzi mkuu

Moshi/Shinyanga. Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) umewaonya vijana juu ya usaliti, fitna, mgawanyiko katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu, ili kujihakikishia ushindi wa kishindo. Pia umewasisitiza kuzingatia maadili, uadilifu na kudumisha umoja na mshikamano huku ukisema CCM lazima ishinde katika uchaguzi mkuu ujao kwa lengo la kuendelee kutatua shida na changamoto…

Read More

Shirika latekeleza agizo ufungaji luku za maji

Dar es Salaam. Wakati Serikali ikianza utekelezaji wa kuweka mita za malipo ya huduma za maji kwa kadiri mtu anavyotumia (Luku), Shirika la WaterAid limeanza kutekelezaji kwa kuwafungia wananchi mita hizo. Akiwasilisha bajeti ya Wizara ya Maji 2024/25 bungeni Dodoma Mei 9, 2024, Waziri Jumaa Aweso alisema kuwa matumizi ya mita za maji za malipo…

Read More

SUA, MWECAU NA UDSM WANUFAIKA NA MRADI WA CONTAN

Wanafunzi pamoja na Wahadhiri kutoka Chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA), MWECAU pamoja na UDSM wamejengewa uwezo wa kufanya tafiti za kutambua viumbe hai vilivyokaribuni kutoweka na kupatiwa vifaa vya kitaalamu vitakavyowawezesha kupima na kuhifadhi sampuli za viumbe hai hivyo kupitia mradi wa CONTAN unaofadhiliwa  na Umoja wa Ulaya. Akizungumza kwenye kongamano la wadau,…

Read More