WATU 9 WAFARIKI DUNIA AJALINI DODOMA

…….. Na Ester Maile, Dodoma  Watu tisa wamefariki Dunia mapema Leo asubuhi katika kijiji cha Kambi ya Nyasa wilaya ya Chemba mkoa.wa Dodoma. Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma ROSEMARY SENYAMULE amesema watu watano akiwemo dereva wa basi walifariki hapo hapo na wengine wanne wamefariki baada ya kufikishwa hospitalini.  

Read More

DOTTO NDUMBIKWA AAHIDI KUCHANGIA MADAWATI 50, MAGODORO 20 NA MBAO SHULE YA MSINGI MAZINYUNGU.

Farida Mangube, Kilosa MDAU wa Maendeleo Wilayani Kilosa Ndugu Dotto Ndumbikwa ameahidi kuchangia Madawati Hamsini (50), Magodoro Ishirini (20), Pamoja na Mbao katika Ujenzi wa Shule ya Msingi Mazinyungu Wilayani Kilosa. Ndugu Dotto ametoa ahadi hiyo wakati akijibu Risala ya Wanafunzi iliyoelezea baadhi ya Changamoto Shuleni hapo katika Mahafali ya kumaliza Elimu ya Msingi kwa…

Read More

Tanzania yapiga hatua kupitia Dira 2025, wadau wasisitiza kilimo cha umwagiliaji kuelekea Dira 2050

Wadau wa maendeleo, wasomi na wataalamu kutoka sekta binafsi na umma wamepongeza hatua kubwa zilizopatikana kupitia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025, wakibainisha kuwa licha ya changamoto za kiuchumi za kimataifa, Tanzania imeweza kudumisha misingi ya maendeleo. Hata hivyo, walionya kuwa sekta ya kilimo bado ni dhaifu kutokana na utegemezi wa mvua na…

Read More

VODACOM YAZINDUA OFISI MPYA KANDA YA KASKAZINI JIJINI ARUSHA

Mkuu wa kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania PLC Bw. George Venanty akizungumza wakati wa uzinduzi wa ofisi mpya ya Kanda ya Kaskazini jijini Arusha. Tukio hilo lilihudhuriwa na Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania PLC Philip Besiimire, Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya Vodacom Tanzania Plc David Tarimo na Wafanyakazi wengine wa Vodacom Tanzania…

Read More

NMB Yakutana na Wafanyabiashara Tabora

Benki ya NMB imefanya kongamano maalum na wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, likilenga kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo. Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara wa NMB, Dickson Richard, akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, amesema benki imejipanga kuendelea kushiri. kiana kwa karibu na wafanyabiashara…

Read More

Mpina hajapoa, awaburuza kortini Msajili, AG

Dodoma. Kuna usemi usemao haijaisha mpaka iishe, ndio unaweza kuutumia kuelezea harakati za Luhaga Mpina kuendelea kupigania haki yake ya kuteuliwa na Tume Huru ya Uchaguzi (INEC) kuwania urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo. Kinachoendelea kwa sasa baina ya Mpina na INEC ni kama filamu ambayo kila mdau wa siasa na wananchi kwa…

Read More