Iran Yamjibu Trump: Hatuna Mazungumzo na Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wazi kuwa hajawasiliana na mjumbe maalum wa Marekani Steve Witkoff katika siku za hivi karibuni wala kuomba kufanyika kwa mazungumzo yoyote na Washington. Akizungumza na vyombo vya habari vya serikali, Araghchi alikanusha madai yaliyotolewa na Rais wa Marekani Donald Trump, akisisitiza kuwa…