Wasanii wa Muziki nchini wanahitaji elimu ya uwekezaji ili iwasaidie kutumia vizuri vipato vyao

Mkuu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi iliyowakutanisha  wadau mbalimbali wa muziki kwa lengo la kujadili masuala tofauti tofauti yanayohusiana na muzikin katika hafla iliyoandaliwa na Mdundo.Com.Mkurugenzi Mkazi-Tanzania wa Mdundo.com, Maureen Njeri akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi…

Read More

Dabo hataki kurudia makosa msimu ujao

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Youssouph Dabo amefunguka hataki kurudia makosa ya msimu uliopita katika michuano ya kimataifa na kusema ndio sababu iliyomfanya awaite mapema kambini mastaa wa timu hiyo ili kutengeneza muunganiko baada ya sajili mpya na kuiweka timu freshi kabla ya kuliamsha 2024-2025. Msimu uliopita Azam licha ya kumaliza nafasi ya pili katika…

Read More

Samsung Electronics Names Young Hyun Jun as New Head of Device Solutions Division

Samsung Electronics today announced that Young Hyun Jun was named as the new Head of Device Solutions (DS) Division to lead the Company’s semiconductor business and strengthen its competitiveness amid an uncertain global business environment. Vice Chairman Jun, who has extensive experience in the semiconductor and battery businesses, joined Samsung Electronics in 2000 and worked…

Read More

Mahinyila: Haikuwa sawa kuwapambanisha Mbowe, Lissu wakati huu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Deogratius Mahinyila amesema japo chama hicho kimepita salama kwenye uchaguzi wa ndani, lakini haikuwa sawa kuwashindanisha aliyekuwa mwenyekiti Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa sasa, Tundu Lissu. Amesema mvutano huo ulikiweka chama majaribuni hasa wakati huu ambao nchi inaelekea kwenye uchaguzi mkuu baadaye mwaka huu….

Read More

Mahakama ya kijeshi yatoa hati kiongozi wa M23 akamatwe

M23 wanatajwa kufadhiliwa na Serikali ya Rwanda hata hivyo, Rais wa Rwanda, Paul Kagame   akizungumza na CNN alikanusha kuhusika kuwafadhili waasi hao. Goma. Mahakama ya Kijeshi nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) imetoa hati ya kukamatwa kwa kiongozi wa umoja wa makundi ya waasi nchini humo ya Alliance Fleuve Congo (AFC/M23), Corneille Nangaa. Shirika…

Read More