PAOK, Southampton zamtaka Samatta | Mwanaspoti

MKATABA wa mshambuliaji wa PAOK, Mbwana Samatta unatamatika mwishoni mwa mwezi huu na inaelezwa timu hiyo tayari imeanza mazungumzo ya kumuongezea kuendelea kusalia kikosini hapo. Nyota huyo wa zamani wa Aston Villa kwa sasa yuko nchini kwa mapumziko baada ya Ligi ya Ugiriki kutamatika wikiendi iliyopita na chama lake kumaliza katika nafasi ya nne likifuzu…

Read More

Nchi 33 kushiriki maonyesho ya utalii Tanzania

Dar es Salaam. Takriban nchi 33 zimethibitisha kushiriki maonyesho ya kimataifa ya utalii ya Swahili International Tourism Expo (Site) yanayotarajia kufanyika kati ya Oktoba 11 na 13, 2024 nchini Tanzania. Maonyesho hayo yanatoa fursa kwa Tanzania kuwa na uwezo wa kufikia masoko katika nchi ambazo bado hazijaleta watalii wengi licha ya kuwa na watu wengi….

Read More

Uchaguzi Zanzibar na tafasiri ya amani ya kweli

Sasa ni wiki ya pili tangu kufanyika kwa uchaguzi wa Rais, Wajumbe wa Baraza la Wawakilishi, Bunge na madiwani. Tofauti na chaguzi zilizopita, safari hii hakukuwa na mauaji, ulemavu, wajane, mayatima wala watu kupigwa viboko kama ilivyowahi kushuhudiwa awali. Tangu kuanza kwa mchakato wa uandikishaji wapigakura hadi kufanyika kwa kura ya mapema Oktoba 28, 2025…

Read More

Wanafunzi wa kike sekondari wajengewa uwezo afya ya kidigitali

  WAKATI matumizi ya Teknlojia yakipamba moto nchini serikali kwa kushirikiana na Chuo Kikuu kishiriki cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) imeanza mkakati wa kuwajengea uwezo wanafunzi wa kike kutoka shule za sekondari katika utafiti , ubunifu na maendeleo katika teknolojia ya Afya kidigitali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Wanawake husani…

Read More

Watanzania waandika rekodi CAF | Mwanaspoti

KWA mara nyingine Wabongo wawili wanaokipiga FC Masar ya Misri, Hasnath Ubamba na Violeth Nickolaus, wameandika rekodi ya kutinga nusu fainali ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kutoka sare ya 1-1 na USFAS kwenye mechi ya kundi A. Mechi hiyo ilipigwa kwenye Uwanja wa Right to Dream, Masar wakiwa wenyeji wa mashindano…

Read More

UN inahitajika ‘zaidi kuliko hapo awali’ anasema mgombea wa Ujerumani kwa Mkutano Mkuu wa Kiongozi – maswala ya ulimwengu

Annalena Baerbock aliwasilisha vipaumbele vyake wakati wa mazungumzo rasmi na nchi wanachama zilizofanyika Alhamisi katika makao makuu huko New York. Ikiwa amechaguliwa, atakuwa tu Mwanamke wa tano Kuongoza chombo kikuu cha kutengeneza sera na shirika la mwakilishi zaidi, linajumuisha nchi zote wanachama 193 ambazo huchagua rais mpya kila mwaka, kuzunguka kati ya vikundi vya mkoa….

Read More