
Wasanii wa Muziki nchini wanahitaji elimu ya uwekezaji ili iwasaidie kutumia vizuri vipato vyao
Mkuu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Benki ya CRDB, Emmanuel Kiondo akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi iliyowakutanisha wadau mbalimbali wa muziki kwa lengo la kujadili masuala tofauti tofauti yanayohusiana na muzikin katika hafla iliyoandaliwa na Mdundo.Com.Mkurugenzi Mkazi-Tanzania wa Mdundo.com, Maureen Njeri akizungumza jijini Dar es Salaam wakati wa hafla fupi…