Gavana aliyegoma kufutwa kazi amburuta Trump mahakamani

New York. Gavana wa Benki Kuu ya  Marekani, Lisa Cook amemshitaki Rais Donald Trump, baada ya kutangaza kumfuta kazi. Tangu aingie madarakani muhula wa pili, Rais Trump amekuwa na utaratibu wa kuwafuta kazi watumishi tangu alipoingia madarakani mapema mwaka huu. Alimfukuza kazi Gwynne Wilcox, mwanamke wa kwanza Mweusi kuketi katika Bodi ya Kitaifa ya Mahusiano…

Read More

Polisi wanne wa Intelijensia Moshi kortini wakidaiwa kutumia silaha kuiba bodaboda

Dar es Salaam. Askari wanne wa Kitengo cha Intelijensia cha Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Moshi, mkoani Kilimanjaro, wakikabiliwa na shtaka la wizi wa pikipiki ya abiria maarufu bodaboda kwa kutumia silaha. ‎Maofisa hao wa Polisi, wanatuhumiwa kuiba pikipiki hiyo mali ya Ramadhani Singe katika kambi ya Polisi….

Read More

RC CHALAMILA AKUTANA NA GAVANA WA JIMBO LA MANIEMA-CONGO DRC

………. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila leo Feb 25,2026 amekutana na Gavana wa Jimbo la Maniema-Congo DRC Mhe Mussa Kabwankubi Moise akiwa ameambatana na ujumbe wake alipomtembelea Ilala Boma Jijini Dar es Salaam. Katika mazungumzo yao wamekubaliana mashirikiano katika nyanja mbalimbali ikiwemo Uchumi na Masuala ya Kiusalama kati ya Mkoa…

Read More

DKT. SAMIA AONGOZA UTEUZI CCM

 ::::::: Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani akiongoza kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa, ambacho kinafanya uteuzi wa mwisho wa majina ya Wanachama waliyoomba nafasi za Ubunge na Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi wa Jimbo na Viti Maalum leo Jumamosi Agosti 23,2025 mkoani Dodoma.

Read More

Ndoa ya Gigy Money Yafanyika Lugalo, Mastaa Wahudhuria

Global Publishers March 14, 2026 0 Comments Msanii mwenye hekaheka zake mjini asiyeishiwa vibwanga Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye kwa sasa amebadili dini na kutumia jina la Rawya, amefunga ndoa na mpenzi wake Licky katika sherehe iliyofanyika jijini Dar es Salaam. Ndoa hiyo ilifungwa na kuambatana na sherehe fupi iliyofanyika katika Viwanja vya Lugalo Golf…

Read More

Yanga yapiga 120, ikimpiga mtu 2-1

YANGA imecheza mchezo wa kirafiki wa kujipima nguvu dhidi ya Fountain Gate ikishinda kwa mabao 2-1. Mchezo huo umepigwa leo katika Uwanja wa KMC Complex, Dar es Salaam katika kupima pumzi ya wachezaji na katika hilo kocha wa Yanga, Romain Folz akawataka Fountain Gate kucheza kwa dakika 120. Akili ya Folz ni kutaka kupima vifua…

Read More

Fountain Gate yalamba dili | Mwanaspoti

TIMU ya Fountain Gate imeingia makubaliano ya miaka miwili yenye lengo la kuhakikisha kwamba wachezaji na benchi la ufundi wanakuwa katika mazingira bora ya kiutendaji wanapokuwa katika majukumu yao uwanjani. Dili jipya la timu hiyo ukiondoa yale ya udhamini wa jumla katika Ligi Kuu Bara yanayotolewa na wadhamini wa michuano hiyo, limetoka katika maji ya…

Read More

Rais Indonesia awafuta kazi mawaziri watano kutuliza waandamanaji

Jakarta. Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto amefanya mabadiliko katika wizara tano, hatua inayoelezwa inalenga kuwatuliza waandamaji. Taarifa iliyotolewa na kiongozi huyo inasema mabadiliko hayo yamechochewa na wananchi kutoridhishwa na hatua zilizochukuliwa na Serikali katika kushughulikia masilahi ya waandamanaji wanaoitaka Serikali kuchukua hatua kuhusu matatizo yanayoikabili jamii. Miongoni mwa mawaziri walioondolewa ni Waziri wa Fedha, Sri…

Read More

Samia Aahidi Kuendeleza Maendeleo Tabora kwa Miaka Mitano Ijayo – Video – Global Publishers

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Manispaa ya Tabora imenufaika kwa kiwango kikubwa na miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na Serikali ya Awamu ya Sita, huku akiahidi kuendeleza kasi hiyo katika miaka mitano ijayo endapo atachaguliwa tena Oktoba 29, 2025. Akihutubia maelfu ya wananchi…

Read More