Airtel Tanzania kwa Ushirikiano na NEMC Wafanya Usafi Fukwe za Bahari Mbezi Beach B
NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) pamoja na wadau wengine wa mazingira, wamefanya zoezi la usafi katika fukwe za bahari eneo la Mbezi Beach B, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 13,2025…