Umuhimu wa utekelezaji mkakati wa nishati safi ya kupikia

Dar es Salaam. Katika muktadha wa maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kimazingira, nishati safi imeendelea kuwa jambo la msingi kwa Taifa lolote linalotaka kupiga hatua kuelekea maendeleo endelevu. Nchi inayokumbwa na changamoto za kiafya, mazingira na umaskini, nishati safi ya kupikia si tu hitaji la msingi, bali ni kichocheo cha maendeleo ya kweli kwa watu…

Read More

Mikopo ya ada elimu ya juu yapanda

Dar es Salaaam. Wakati Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) ikitangaza awamu ya kwanza ya walionufaika, kiwango cha chini cha mkopo kwa mnufaika kimeongezeka. HESLB imetangaza wanafunzi 21,509 wamepangiwa mikopo katika awamu ya kwanza. Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Dk Bill Kiwia akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 28, 2024 jijini…

Read More

CHAGUENI VIONGOZI WAADILIFU-PINDA – MICHUZI BLOG

Na Mwandishi Wetu, MLELE  Mbunge wa Jimbo la Kavuu na Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wananchi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuchagua viongozi waadilifu ambao hawataiingiza jamii kwenye matatizo yakiwemo yale ya sekta ya Ardhi.    Mhe Pinda amesema hayo katika Kikao cha Halmashauri ya CCM kata…

Read More

Wanawake na watoto wanakabiliwa na kifo katika kutafuta chakula – maswala ya ulimwengu

“Nilikuwa nikipokea misaada kwa urahisi na UN,” Abir Safi, mtu aliyehamishwa kutoka kwa kitongoji cha Zeitoun cha Gaza City, aliambia Habari za UN. “Sasa, hatupati chochote. Ninahatarisha maisha yangu kwa kwenda kuvuka kwa Zikim na kurudi na begi tupu. Ninachotaka ni kurudi kwa watoto wangu na chakula.” Bi Safi alisema hajawahi kufikiria kwamba kutoa kwa…

Read More

Ahoua, Kibu wafunika, Simba ikiifyatua Dodoma jiji

TUSIZOEANE. Ni kama onyo kali vile ilichofanya Simba jioni ya leo katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Dodoma Jiji kwa kuweka rekodi ya kibabe huku wakipunguza utofauti wa pointi kati yao na Yanga ambao wanakimbizana nao kwenye vita ya ubingwa. Simba iliyofikisha pointi 57, moja pungufu na ilizonazo Yanga yenye 58 kileleni zote…

Read More

Ayoub Lakred hatihati Dabi ya Kariakoo

KIPA wa Simba, Ayoub Lakred huenda akakosa mchezo wa Ngao wa Jamii utakaoihusisha timu hiyo dhidi ya Yanga Agosti 8, mwaka huu kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam, baada ya kupata majeraha ya misuli ya paja ‘Hamstring’. Ayoub aliyejiunga na Simba Agosti 11, mwaka jana kwa mkataba wa mwaka mmoja kisha kusaini…

Read More