WAHASIBU WA NCHI ZA AFRIKA (AAAG)WAASWA KUWA NAMATUMIZI SAHIHI YA FEDHA ZA UMMA HASWA KWENYE KUTEKELEZA MIRADI.

Na. Vero Ignatius Arusha.  Mkutano wa Pili wa Mwaka wa Umoja wa jumuiya ya Wahasibu wa Nchi za Afrika (AAAG)Umefanyika Jijini Arusha katika kituo cha kimataifa AICC ukiwa unaakisi matarajio ya pamoja kama mataifa ya Afrika ya kuimarisha mifumo ya usimamizi wa fedha kama chachu ya ukuaji endelevu. Akuzungumza wakati wa kuzungumza leo 2 desemba…

Read More

Rasmi Simba kuikabili Yanga Kwa Mkapa

Simba imethibitisha kucheza mechi ya Ligi Kuu dhidi ya Yanga ‘Kariakoo Derby’ leo d kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa. Mechi hiyo imepangwa kuchezwa kuanzia saa 11:00 jioni ambapo Yanga itakuwa mwenyeji. Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Simba imeweka tangazo la mechi hiyo na kuandika ‘Tutakuwepo’. …

Read More

Shinda Mkwanja na Expanse Tournament – Global Publishers

Last updated Jan 11, 2025 Shindano hili litahusisha wateja wote ambao watakua wamejisajili na Meridianbet ambapo watapata fursa ya kuondoka na kitita hichio kabambe msimu huu wa sikukuu na kukufanya kufunga na kuanza mwaka kibabe kabisa. Michezo ambayo itahusishwa kwenye shindano hili la mabingwa ni kama ifuatavyo Book of Eksimo, Book of Egypt, Fortune…

Read More