Malasusa: Utekaji, mauaji yafike mwisho
MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Alex Malasusa, amelaani matukio ya utekaji na mauaji ya raia na kusema kanisa halitaki kusikia uhalifu huo tena. Anaripoti Restuta James, Kilimanjaro … (endelea). Ameyasema hayo leo Septemba 17, 2024, mbele ya Naibu Waziri Mkuu, Dk. Dotto Biteko, wakati wa ibada ya maziko ya…