Lishe inavyotajwa kipaumbele kukuza ufaulu shuleni

Dar es Salaam. Wakati maadhimisho ya siku ya lishe kitaifa yakitarajiwa kufanyika kesho Novemba 21, 2025 mkoani Ruvuma, Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania (TFNC) imesema wanafunzi wa shule za msingi wanaopata chakula cha mchana wanafanya vizuri kwenye masomo ikilinganishwa na wanaoshinda njaa. Imewasisitiza wazazi na walezi nchini kushiriki katika michango ya lishe mashuleni ili…

Read More

Wimbo Mpya : MAP MASTAR MKM Ft. NOBE

Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Map Mastar MKM wakishirikiana na Nobe wametambulisha rasmi wimbo wao mpya uitwao “Kiongozi Bora”, audio rasmi ikiwa imewekwa kupitia mtandao wa YouTube chini ya Misalaba Media.  Wimbo huu unakuja ukiwa na ujumbe mzito wa kijamii unaogusa nafasi na wajibu wa viongozi bora katika maendeleo ya taifa, ambapo wasanii hao…

Read More

Akutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake

Arusha. Harufu kali mithili ya mzoga wa mnyama iliyotoka ndani ya nyumba ya John Lema (57), mkazi wa Mtaa wa Sokoni II jijini Arusha, imesaidia jamii inayozunguka nyumba yake kufichua kifo chake ambacho chanzo chake bado hakijajulikana. Inasadikika Lema amekufa siku nne zilizopita akiwa ndani ya nyumba yake ambayo anaishi peke yake, hivyo mwili wake…

Read More

Mdhamini jela miezi sita kwa kumtorosha mshtakiwa, atakiwa kulipa Sh5 milioni

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kifungo cha miezi sita jela na kulipa bondi ya Sh5 milioni mdhamini Erick Mwasongwe, baada ya kushindwa kuhakikisha mshtakiwa aliyemdhamini anafika mahakamani kila tarehe ya kesi hiyo inapopangwa. Mwasongwe, aliyemdhamini Khalid Haji anayekabiliwa na shtaka la kujipatia fedha kwa udanganyifu na kujifanya ofisa usalama, amepewa adhabu…

Read More

Rais Samia asikubali kurejea ya Magufuli

HAKUNA shaka kuwa uchaguzi wa viongozi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji uliopangwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, umeanza kugubikwa na utata na ikiwa mamlaka hazitakuwa makini, hakika waweza kuvurugika. Anaandika Oliver Mwikila … (endelea). Hii ni kwa sababu, hata kabla ya uchaguzi wenyewe kuanza kufanyika, tayari kumeibuka utata unaotokana na kuwapo sheria tatu…

Read More