NI MAELFU KWA MAELFU YA WANANCHI SONGWE…RAIS DK. SAMIA AAHIDI MAKUBWA

 *Aweka wazi mpango wa kumaliza msongamano wa malori Tunduma mkoani Songwe *Agusia maboresho reli ya TAZARA,maegesho ya kisasa kuepusha malori barabarani Na Said Mwishehe,Michuzi TV-Tunduma  NI maelfu ya wananchi,ni maelfu ya wananchi, ni maelfu ya wananchi ! Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea maelfu ya wananchi wa Tunduma katika Mkoa wa Songwe wamejitokeza kwa wingi  katika mkutano…

Read More

Waha na chimbuko  Kijiji cha Makumbusho Dar

Kijiji cha Makumbusho kimekuwa moja ya vivutio vya utalii wa ndani jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla. Kijiji hicho chenye ukubwa wa ekari 15 kipo maeneo ya  Makumbusho jijini humo kilianzishwa mwaka 1966,  ikiwa ni wazo la Mwalimu Julius Nyerere. Wazo la kuanzisha lilimjia baada ya watu wa kabila la Waha kujenga mfano…

Read More

MRAMBA AONYA WANAOTEMBEA NA MAJINA YA WAGOMBEA MIFUKONI

Na Khadija Kalili Michuzi Tv KATIBU wa Siasa,Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),David Mramba ametoa onyo kali kwa baadhi ya wanachama wake kwa watu walioanza kampeni kabla ya wakati wa uchaguzi huku baadhi ya wanachama wake wakitembea na majina ya wagombea mifukoni mwao kua watachukuliwa hatua kali za kwenda kinyume na maadili. “Nasema…

Read More

BILIONI 19 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 180 TABORA

Msimamizi wa Miradi ya REA Kanda ya Magharibi, Mhandisi Robert Dulle akizungumza mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha (hayupo pichani) Novemba 7, 2024 wakati wa kumtambulisha Mkandarasi anayetekeleza mradi wa kusambaza umeme vitongojini Tabora Kampuni ya Sinotec Company Ltd kutoka nchini China Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Paul Chacha akitoa maelekezo kwa…

Read More