INEC yatangaza majimbo mapya manane 

Dodoma. Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza majimbo mapya nane na hivyo kufanya jumla ya majimbo ya uchaguzi kufikia 272. Aidha, INEC imeongeza idadi ya kata tano na hivyo kufanya idadi zitakazofanyika uchaguzi mkuu kufikia kata 3,960. Mchakato wa kupokea maoni ya kubadilisha na kugawanywa kwa majimbo ya uchaguzi na kata za uchaguzi…

Read More

Kakolanya, Ambokile wavunja ukimya City

BAADA ya kipa Beno Kakolanya na mshambuliaji Eliud Ambokile kila mmoja kusaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia Mbeya City katika msimu mpya wa mashindano ikiwa imerejea Ligi Kuu Bara, wachezaji hao wametoa neno wakisema wanaamini mbele yao wana kazi ngumu ya kuisaidia kufanya vizuri 2025-2026. Msimu uliopita Kakolanya alisajiliwa na Singida Black Stars akitokea Simba,…

Read More

UKAMILISHWAJI KIWANJA CHA NDEGE MSALATO UNAHITAJI UMAKINI NA KUJALI THAMANI YA FEDHA- PROF.MBARAWA

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma. Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa amewataka wadau wote wanaosimamia ujenzi wa Kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Msalato kushirikiana ili ujenzi huo ukamilike ifikapo Mwezi Mei mwaka huu. Akizungumza jijini Dodoma, Januari 14, 2026 wakati akikagua maendeleo ya ujenzi huo, Prof. Mbarawa amesema hatua ya ukamilishaji wa ujenzi (finishing),…

Read More

Michezo kuhamasisha wananchi kushiriki uchaguzi Mpimbwe

Mashabiki wa timu ya Simba na Yanga halmshauri ya Mpimbwe Wilaya ya Mlele mkoani Katavi wameoneshana ubabe katika tamasha maalum la kuhamasisha watu kushiriki zoezi.la kujiandikisha katika orodha ya wapiga kura kuanzia octoba 11 hadi 20 maandalizi ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika novemba 27 mwaka huu   Akizungumza katika tamasha Hilo mgeni…

Read More

BoT yataja maeneo ya kumwezesha mwanamke kiuchumi

Dar es Salaam. Ili kuharakisha ujumuishaji wa kifedha kwa wanawake, Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imetaja maeneo ambayo yanapaswa kuwekewa mkazo zaidi ikiwemo kurahisisha upatikanaji wa mitaji kwao. Maeneo mengine ni elimu ya kifedha na uwezeshaji, kuwepo kwa sera na utetezi hasa zinazochochea usawa wa kijinsia katika sekta ya kifedha. Hayo yamesemwa na Naibu Gavana…

Read More