Takwimu za elimu kuwa katika mfumo Moja

Na Janeth Raphael MichuziTv- Bungeni -Dodoma WIZARA ya Elimu,Sayansi na Teknolojia inajivunia kuunganisha mifumo ya takwimu za elimu na kuwa na mfumo mmoja wa sekta ya elimu. Hayo yameelezwa leo Mei 12,2025 bungeni na Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Adolf Mkenda wakati akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha…

Read More

Trump anavyoutikisa mkutano wa G20 Afrika Kusini

Mkutano wa G20 wa Afrika Kusini ulitarajiwa kuwa fursa kwa mataifa tajiri, yenye nguvu kutilia maanani masuala ya nchi maskini zaidi kama vile kuongezeka kwa ukosefu wa usawa na kukosekana kwa maendeleo katika vita dhidi ya mabadiliko ya tabianchi. Lakini nchi tajiri, yenye nguvu zaidi, Marekani, haitashiriki mkutano huo. Waziri wa Mambo ya Nje wa…

Read More

Msimamo wa bosi kubwa Max kutua Simba

WANASEMA jaMBO likimalizika, basi hufuata  au lilelile huendelea na hivyo kuwafanya watu kuendelea kulifuatilia au kuanza upya kufuatilia linalojitokeza. Hivyo ndivyo ilivyo pia kwa supastaa wa Yanga, Maxi Mpia Nzengeli ambaye pale Jangwani ni kama ameanza kutengeneza ufalme flani ndani ya kikosi cha Jangwani, licha ya kwamba hatajwi sana. Basi ndoto za klabu ya Simba…

Read More

Waziri atoa mwezi mmoja Mfumo wa Mipaka kufanya kazi

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni akizungumza na askari wa idara ya uhamiaji ya nchini Burundi wakati wa ziara ya ukaguzi wa Mpaka wa Manyovu unaotenganisha nchi ya Tanzania na Burundi.Waziri Masauni yuko katika ziara ya kikazi mkoani Kigoma.Picha na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. Mkuu wa wilaya ya Buhigwe,…

Read More

KILICHOMPOZA MCHUNGAJI KIBOKO YA WACHAWI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni, amefichua sababu zilizomfanya serikali kumfukuza nchini mchungaji maarufu anayejulikana kama ‘Kiboko ya Wachawi.’ Kwa mujibu wa Masauni, mchungaji huyo aliondolewa nchini baada ya kukiuka sheria za usajili na kushiriki katika vitendo vilivyo kinyume na mafundisho ya dini. Waziri Masauni amesema kuwa ameshuhudia mchungaji huyo, ambaye kwa…

Read More

Wadau wa ELIMU wajadili mustakabali wa elimu ya kujitegemea

CHUO Kikuu Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) kimewakutanisha wadau mbalimbali wa elimu kutoka ndani na nje ya Tanzania katika kongamano linalolenga kujadili dhana ya elimu ya kujitegemea na umuhimu wake katika maendeleo ya jamii. Kongamano hilo linalofanyika chuoni hapo kwa kushirikiana na Chuo cha VIA cha Denmark, limefunguliwa rasmi leo na Naibu Katibu Mkuu wa…

Read More

Ceasiaa Queens yalia na uchovu

LICHA ya Ceasiaa Queens kupata ushindi mnono wa mabao 5-2 dhidi ya Mlandizi Queens wamesema uchovu umewafanya kutokuwa na mchezo mzuri. Ceasiaa iko nafasi ya tano kwenye msimamo wa ligi kwa pointi 16 baada ya mechi 12 ikishinda mechi tano, sare moja na kupoteza sita ikifunga mabao 20 na kuruhusu 26. Kocha mkuu wa timu…

Read More

CRDB, Puma zaingia makubaliano kuimarisha usambazaji wa mafuta

Dar es Salaam.Katika jitihada za kuimarisha ujasiriamali na kukuza biashara nchini, Benki ya CRDB imeingia makubaliano na kampuni ya Puma Tanzania kuwakopesha wamiliki wake wa vituo vya mafuta nchini. Makubaliano hayo yaliyosainiwa hivi karibuni na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela pamoja na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah yanatoa…

Read More

Viongozi wa Kiafrika walipinga kuungana dhidi ya wakandamizaji wa madini ya mpito wa nishati – maswala ya ulimwengu

Dk. Augustine Njamnshi wa ACSEA anahutubia kikundi cha mashirika ya asasi za kiraia mbele ya Mkutano wa AUC huko Addis Ababa. Mikopo: Isaya Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (Addis Ababa) Alhamisi, Februari 27, 2025 Huduma ya waandishi wa habari ADDIS ABABA, Februari 27 (IPS) – Wanaharakati wa mabadiliko ya nishati na hali ya hewa wamewapa changamoto…

Read More