Lukuvi Kuagwa Dodoma, Dar Kuzikwa Iringa Jumanne Machi 31, 2026
Global Publishers March 26, 2026 0 Comments Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi (70), utazikwa katika kijiji cha familia yake, Idodi, wilaya ya Iringa Vijijini, siku ya Jumanne, Machi 31, 2026. Lukuvi, ambaye pia alikuwa mbunge wa Isimani (CCM), alifariki dunia saa 1…