Wahudumu 160 ‘wapikwa’ kupambana na malaria

Morogoro. Baada ya Tanzania kuorodheshwa kuwa miongoni mwa nchi 10 duniani zinazoongoza kwa vifo vinavyotokana na ugonjwa wa malaria, Shirika la Amplify Health & Development in Africa limeanzisha mpango maalumu wa kuwaandaa wahudumu wa afya ngazi ya jamii na vijana 160. Wahudumu hao watatumika kutoa elimu na hamasa kwa wananchi kuhusu kinga, utambuzi wa mapema…

Read More

AKU kuwaunganisha wanafunzi na fursa za kibiashara

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Aga Khan nchini (AKU), kimezindua klabu ya ujasiriamali ili kuwawezesha na kuwaunganisha wanafunzi wa chuo hicho na fursa za kibiashara. Kwa mujibu wa chuo hicho, hatua hiyo pia, itawasaidia wanafunzi kusoma kwa vitendo kuhusu ujasiriamali badala ya nadharia pekee wakiwa chuoni hapo. Uzinduzi huo umefanyika leo, Februari 3, 2026…

Read More

Ukonga Kings iamerudi Ligi Kikapu Dar

TIMU ya Ukonga Kings imerejea katika Ligi Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL), baada ya kuifumua Magone kwa mechi 2-0 katika nusu fainali ya Ligi Daraja la Kwanza, na hivyo kujihakikishia nafasi ya kucheza fainali huku ikijikatia tiketi ya kupanda daraja. Itakumbukwa kwamba Ukonga Kings ilishuka daraja 2023, ambapo awali 2022 timu hiyo iliyolewa…

Read More

Wabunge wataka kilimo kiubebe mpango wa maendeleo 2050

Dodoma. Wabunge wametaja kilimo cha umwagiliaji kuwa mkombozi kwenye mkakati wa utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mapema jana, Jumatatu Februari 2, 2026, Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, aliwasilisha Mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo ya Taifa 2050, ambao umegawanyika katika mapendekezo ya muda mfupi na yale ya mwaka mmoja. Katika…

Read More

Mzee Hood afariki dunia, wadau wamzungumzia

Morogoro. Mfanyabiashara maarufu aliyekuwa mmiliki wa Kampuni ya Usafirishaji ya Mabasi Hood ya mkoani Morogoro, Mohamed Hood Said (90)) amefariki dunia jana Februari 2, 2026 akiwa nyumbani kwake Mtaa wa Mlapakoro, Kata ya Mji kuu Manispaa ya Morogoro. Akitoa taarifa za kifo cha mfanyabiashara huyo mtoto wa marehemu Faiz Abdallah Salumu amesema baba yake mkubwa…

Read More

Serikali kuboresha bandari za Kibirizi, Ujiji

Dodoma. Serikali imesema imeanza utekelezaji wa hatua za kurejesha bandari za Kibirizi na Ujiji mkoani Kigoma zilizokumbwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuongezeka kwa kina cha maji katika Ziwa Tanganyika, hali iliyosababisha kudorora kwa shughuli za usafirishaji na biashara. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumanne, Februari 3, 2026, na Naibu Waziri wa…

Read More