Saratani inavyoweza kupona, kuzuka tena

Kenya. Mwaka 2011,  Judy Wanyoike  raia wa Kenya, alianza kupata maumivu ya mgongo na kutokwa na damu ukeni, dalili ambazo hapo awali hakuweza kuzifafanua. Hali hii iliendelea kwa miezi kadhaa hadi mwaka wa 2012 alipoambiwa kuwa alikuwa na saratani ya shingo ya kizazi. “Nilikua nimeenda kwenye semina ya kanisa ya wiki moja huko Naivasha, ambapo…

Read More

Kwa nini muhimu mwanamke kuchunga usafi maliwatoni

Nairobi. Wanawake wengi hukumbwa na maambukizi hasa katika sehemu zao  za siri Hii ni kutokana na desturi ya walio wengi kutozingatia usafi wakiwa maliwatoni au wanapokwenda haja. Matumizi ya choo na jinsi ya kuhakikisha usafi baada ya kumaliza haja kubwa au ndogo, ni mambo yanayofaa kuzingatiwa. Ikumbukwe wanaposhindwa kudumisha usafi, athari zifuatazo zinaweza kujitokeza kama…

Read More

VODACOMA TANZANIA YAFIKA SOKO LA MACHINGA DODOMA NA KUTOA ZAWADI ZA MAKAPU KWA WATEJA WAKE

Katika muendelezo wa kusambaza Kapu la Vodacom kwenye maeneo mbalimbali nchini, timu ya Vodacom Tanzania Plc imefika Soko la Machinga Dodoma na kuwapatia wateja wake zawadi za makapu yaliyo sheheni vitu lukuki. Zoezi hili linaendeleza utoaji wa makapu ambao tayari umefanyika katika mikoa ya mbalimbali hapa nchini. Hatua hii inaonyesha utayari wa Vodacom kurudisha shukrani…

Read More

Jinsi Muswada wa Watoto wapya na Watoto wa Afya ya Mtoto unaweza kutoa chanjo ya Afya ya Universal – Maswala ya Ulimwenguni

Wafanyikazi wa afya huhudhuria kwa mama wajawazito na wanaonyonyesha katika ziara ya kuwafikia wanaoungwa mkono na UNFPA katika kaunti ndogo ya Loima. Mikopo: UNFPA/Luis Tato Maoni Na James Nyikal, Margaret Lubaale na Anne-Beatrice Kihara (Nairobi, Kenya) Ijumaa, Desemba 12, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NAIROBI, Kenya, Desemba 12 (IPS) – Kwa wanawake katika kazi…

Read More

Mkandarasi apewa siku 36 kukamilisha Daraja la Mkuyuni

Mwanza. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amempa siku 36 mkandarasi Jasco Co. Ltd anayejenga Daraja la Mkuyuni lililopo mkoani Mwanza kumaliza ujenzi huo kuanzia leo Desemba 11, 2025 hadi Januari 15 mwakani atakaporudi kulizindua. Maagizo ya Ulega yamekuja zikiwa zimepita siku chache tangu Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba kumuelekeza kukutana na kumuuliza mkandarasi huyo anamaliza…

Read More